NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
Kocha wa makipa Mashujaa FC kampiga kocha wa Mbeya City wazi wazi bila ya kificho na dunia imeona.
NALIA NGWENA nimeshangazwa sana na hiyo adhabu ndogo aliyopewa lakini Hajji Manara aliyekua msemaji wa Yanga kabla ya kufungiwa alibishana na Raisi wa TFF tu Tena kwa ushahidi wa kubangaiza lakini kapigwa nyundo ya miaka na faini ya shilingi milioni 20.
Sasa Najiuliza hizi kamati zinazoratibu adhabu huwa zinaangalia watu kwanza usoni au Kuna kanuni zinafatwa au zinakomoa watu makusudi??
Kamati ya adhabu TFF fanyeni kazi kwa kufuata kanuni na Wala siyo kuangalia sura na kumkomoa mtu.
NALIA NGWENA nimeshangazwa sana na hiyo adhabu ndogo aliyopewa lakini Hajji Manara aliyekua msemaji wa Yanga kabla ya kufungiwa alibishana na Raisi wa TFF tu Tena kwa ushahidi wa kubangaiza lakini kapigwa nyundo ya miaka na faini ya shilingi milioni 20.
Sasa Najiuliza hizi kamati zinazoratibu adhabu huwa zinaangalia watu kwanza usoni au Kuna kanuni zinafatwa au zinakomoa watu makusudi??
Kamati ya adhabu TFF fanyeni kazi kwa kufuata kanuni na Wala siyo kuangalia sura na kumkomoa mtu.