Akahojiwa kipi wakati ni ukweli shehe, taifa lina deni kubwa hakuna siri makaratasi yanaongeaWafuatiliaji wengi wa mambo tunajiuliza, kitendo cha Spika kutangaza Bunge lake halijafanya kazi yake ipasavyo ya kuisimamia Serikali hadi nchi kufikia deni la 70+ trilion sio kushusha hadhi ya Bunge?
Kama angetoa kauli hii mtu mwingine kesho angeitwa kwenye hii kamati, basi tunaomba haki itendeke kwa Bw. Ndugai kuitwa kwenye kamati ya Hadhi, Kinga na madaraka ya Bunge ili ajieleze kwanini anashusha hadhi ya Bunge letu.
TUTA ONDOA HIYO "the so called KINGA na kumburuza Mahakamani apende asipende"Na ndio maana anaongea anachojisikia,,kwasabu yeye pia ana kinga ya kutoenda segerea wala police
Tunapodai Katiba mpya tunaambiwa tumetumwa na mabeberu,wananchi hawahitaji hawajawahi kulibebea mabango,kuandamana nk.utadhani huwa wanapokea mabango/maandamano zaidi ya kuyazuia kizembe zembe na kunyanyasa wanaojaribu kufanya hivyo.Yeye yuko juu ya sheria. Genge la Magufuli. Hata wakikumiminia risasi, hawashitakiwi popote hapa Tanzania. Wana kinga eti. Kweli Katiba mpya inahitajika kwa udi na uvumba.
TUTA ONDOA HIYO "the so called KINGA na kumburuza Mahakamani apende asipende
Wanakuhamisha njia hao.Dai katiba na dai Mbowe aachwe huru.Wafuatiliaji wengi wa mambo tunajiuliza, kitendo cha Spika kutangaza Bunge lake halijafanya kazi yake ipasavyo ya kuisimamia Serikali hadi nchi kufikia deni la 70+ trilion sio kushusha hadhi ya Bunge?
Kama angetoa kauli hii mtu mwingine kesho angeitwa kwenye hii kamati, basi tunaomba haki itendeke kwa Bw. Ndugai kuitwa kwenye kamati ya Hadhi, Kinga na madaraka ya Bunge ili ajieleze kwanini anashusha hadhi ya Bunge letu.