Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,600
- 35,158
Naomba mnieleweshe.
Kama mtu anataka fungua kampuni A na B ina maana lazima awe na bank acc mbili na kila moja ifanye kazi kivyake.
Je, inawezekana hizi kampuni mbili zika sajiliwa chini ya kampuni moja? Mfano badala ya kuwa na kampuni A na B ukawa na kampuni C na hii kampuni C iwe na hizo kampuni A na B?
Je, nini faida ya kuwa na kampuni mama? Je, nikiwa na kampuni mama italazimisha kila kampuni ndogo ziwe na mahesabu yake? Acc yake benki?
Naomba mwongozo!
Kama mtu anataka fungua kampuni A na B ina maana lazima awe na bank acc mbili na kila moja ifanye kazi kivyake.
Je, inawezekana hizi kampuni mbili zika sajiliwa chini ya kampuni moja? Mfano badala ya kuwa na kampuni A na B ukawa na kampuni C na hii kampuni C iwe na hizo kampuni A na B?
Je, nini faida ya kuwa na kampuni mama? Je, nikiwa na kampuni mama italazimisha kila kampuni ndogo ziwe na mahesabu yake? Acc yake benki?
Naomba mwongozo!