Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao smart si ndo waliuzwa kwenda BOL au smile kama sikoseiNaomba kujua..
Hizi kampuni za simu zilikufa?
Walifunga biashara? Wali declare official kuwa wamefunga?..
Wateja wao walipelekwa wapi?
Kuna anaejua kauli rasmi kuhusu hizi kampuni mbili za simu?sasatel na smart?
Watakuwa ni court brokers hawa 😂😂😂Ulienda wewe na nani?
🤣🤣 Msamiati kufilisi umenifurahisha.! Waliwafanya nini..?Miaka ya nyuma tulienda kuwafilisi sasatel pale Penisula House karibu na Cocobeach.
Walikuwa na vifurushi bei balaaaBOL ndio SMART na mimi nilikuwa mteja wao, hawa walikufa kifo cha asili. Walishindwa kabisa kuwateka wateja.
Hazipo i think, ...Bol na smile bado zipo?
Nadhani haikufika mikoani. BOL au SMART walikuwa wanamilikiwa na Aga Khan kama sikosei, wameanza mwaka 2013 na kufa kwenye 2016 hivi.Mitandao mipya hii au mikoani haikufika?
mitandao yote hiyo nilikua naisikia kwenye Jahazi la clouds fm Nikiwa kazilamuyaye ndani ndani.Mitandao mipya hii au mikoani haikufika?
swadaktaWatakuwa ni court brokers hawa 😂😂😂
No zao za simu zilianza na no. ipiBOL ndio SMART na mimi nilikuwa mteja wao, hawa walikufa kifo cha asili. Walishindwa kabisa kuwateka wateja.