Gushleviv
JF-Expert Member
- Mar 14, 2011
- 3,475
- 5,290
Chief-Mkwawa msaada pls!Naomba kujua.
Hizi kampuni za simu zilikufa?
Walifunga biashara? Wali declare official kuwa wamefunga?
Wateja wao walipelekwa wapi?
Kuna anaejua kauli rasmi kuhusu hizi kampuni mbili za simu? sasatel na smart?