Mzalendowadamu
JF-Expert Member
- Jul 10, 2016
- 218
- 318
Habari za leo wanabodi.
Naomba kujua Jambo hili. Katika ukopaji wa kawaida huwa tunalazimika kuwa na Shaman ya Mali isiyo hamishika na pengine iwe na thamani sawa au zaidi ya kiwango cha mkopo kinacho ombwa. Sasa napenda Kujua juu wa makampuni, Yanapo kopa hulazimika kuwa na dhamana kama hizo?. Na je, kuna mazingira yoyote ya kampuni kukopa bila kuwa na dhamana ya mali isiyo hamishishika?
Nina thamini michango yenu nyote.
Naomba kuwasilisha.
Naomba kujua Jambo hili. Katika ukopaji wa kawaida huwa tunalazimika kuwa na Shaman ya Mali isiyo hamishika na pengine iwe na thamani sawa au zaidi ya kiwango cha mkopo kinacho ombwa. Sasa napenda Kujua juu wa makampuni, Yanapo kopa hulazimika kuwa na dhamana kama hizo?. Na je, kuna mazingira yoyote ya kampuni kukopa bila kuwa na dhamana ya mali isiyo hamishishika?
Nina thamini michango yenu nyote.
Naomba kuwasilisha.