Je, Kante ajiandae na benchi French National team?

Je, Kante ajiandae na benchi French National team?

Habari za mda huu wakuu.

Kwa kiwango anachokionyesha kiungo kijana fundi mkabaji wa Real Madrid Tchouame'an kilichomfanya Casemiro kukimbilia Manchester united.

Je nafasi ya Ng'olo kante Bado mnaiona France National team?

Kiufupi bwana mdogo anajua kukaba na anajua kuucheza mpira skilss and passes ni aina ya viungo wakabaji walio GIFTED sana je iko wapi nafasi ya mkata umeme kante?

Kama haujawahi muangalia Dogo akicheza better usi comments kwa kutumia mawazo thania (wishingfullthinking)View attachment 2362473
World cup 2018 Midfield ya ufaransa ilikuwa ni

Kante
Matuidi/ Nzonzi/Tolisso.
Pogba

Hapo Matuidi hayupo, Nzonzi hayupo, Pogba pia yupo injured.


Hivyo kwenye nafasi hiyo anabaki Kante, Tchoumen na Adrien Rabiot ndiyo top midfielders Kante atakosaje nafasi hapo ?
 
WC uzoefu una matter sana... kijana hawezi pewa dkk 90 mechi muhimu nafasi ya Kante kama hatakuwa na injury ni 100%
 
Back
Top Bottom