Je, Kante ajiandae na benchi French National team?

World cup 2018 Midfield ya ufaransa ilikuwa ni

Kante
Matuidi/ Nzonzi/Tolisso.
Pogba

Hapo Matuidi hayupo, Nzonzi hayupo, Pogba pia yupo injured.


Hivyo kwenye nafasi hiyo anabaki Kante, Tchoumen na Adrien Rabiot ndiyo top midfielders Kante atakosaje nafasi hapo ?
 
WC uzoefu una matter sana... kijana hawezi pewa dkk 90 mechi muhimu nafasi ya Kante kama hatakuwa na injury ni 100%
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…