Je, Kassim Majaliwa ni mwenye bahati ya kuwa Waziri Mkuu kwa miaka 15 kuanzia 2015 hadi 2030?

Acheni ujinga basi. Yaani ndio kwanza 2021 unamsemea mtu 2030,huyo mtu hawezi kustaafu, hawezi kutolewa kwenye hio nafasi, hawezi kujiuzulu, hawezi kufa?
Kapuliza kipenga leo, hadi 2030
 
Usianze kumchuria mapema watamfungulia 'stud' za matairi
 
Mhh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…