Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,547
- 7,167
- Thread starter
- #21
Eti PM Majaliwa, wewe wasemaje?Kwani yeye majaliwa anasemaje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eti PM Majaliwa, wewe wasemaje?Kwani yeye majaliwa anasemaje
Kapuliza kipenga leo, hadi 2030Acheni ujinga basi. Yaani ndio kwanza 2021 unamsemea mtu 2030,huyo mtu hawezi kustaafu, hawezi kutolewa kwenye hio nafasi, hawezi kujiuzulu, hawezi kufa?
Ngoja nijipoze kwanza na bia nimetoka rumande.Eti PM Majaliwa, wewe wasemaje?
Usianze kumchuria mapema watamfungulia 'stud' za matairiYawezekana Waziri Mkuu Kasim Majaliwa Majaliwa ataweka historia ya Kuwa waziri Mkuu wa muda mrefu wa JMT kuanzia mwaka 2015 hadi 2030.
Kwa vyovyote vile Rais Samia Suluhu hatakubali kustaafu Urais mwaka 2025. Hata akitaka kustaafu wapambe wake watamshauri aendeleze bahati ya ngekewa oliyomuangukia hadi 2030.
Rais Samia Suluhu pia ikumbukwe hana kinyongo Cha kuwabadilisha watendaji wake mbalimbali serikalini. Hii imedhirishwa na Mawaziri, Makatibu Wakuu na Manaibu waziri na Manaibu Makatibu kubaki walewale.
Hapa Sasa ndipo panapokuja uhakika wa Majaliwa kubaki Waziri Mkuu wa muda mrefu ktk Historia ya JMT. Ni maono na mtazamo wangu.
Naona fitna na figisu zimeanza.2025 Majaliwa hachaguliwi uwaziri mkuu.
Kama naona daliliUsianze kumchuria mapema watamfungulia 'stud' za matairi
MhhYawezekana Waziri Mkuu Kasim Majaliwa Majaliwa ataweka historia ya Kuwa waziri Mkuu wa muda mrefu wa JMT kuanzia mwaka 2015 hadi 2030.
Kwa vyovyote vile Rais Samia Suluhu hatakubali kustaafu Urais mwaka 2025. Hata akitaka kustaafu wapambe wake watamshauri aendeleze bahati ya ngekewa oliyomuangukia hadi 2030.
Rais Samia Suluhu pia ikumbukwe hana kinyongo Cha kuwabadilisha watendaji wake mbalimbali serikalini. Hii imedhirishwa na Mawaziri, Makatibu Wakuu na Manaibu waziri na Manaibu Makatibu kubaki walewale.
Hapa Sasa ndipo panapokuja uhakika wa Majaliwa kubaki Waziri Mkuu wa muda mrefu ktk Historia ya JMT. Ni maono na mtazamo wangu.
Umehisi kitu?