Je, kati ya kozi ya Graphics photograph videograph na umeme ipi n bora?

Je, kati ya kozi ya Graphics photograph videograph na umeme ipi n bora?

Jnk official

Member
Joined
Nov 25, 2024
Posts
24
Reaction score
20
Habari zenu wana JF mimi ni mgeni humu, na nilikua naomba mnisaidie japo ushauri.

Nina mjomba wangu .amemaliza kidato cha nne mwaka huu na nikimuuliza kuhusu ndoto zake na kitu anachopenda kufanya ananiambia anapenda computer na umeme na anatamani awe mtu anaefanya kazi za graphics design,videographer pamoja na photographer.

Huku akipiga na umeme so mnashauri nini apo je hivyo vitu vinne vina pesa? Au dogo atapoteza muda akisomea hivyo vtu? Na naombeni mnisaidie kwa wale wazoefu je akijiliwa na kujiajiri kipi kina manufaa zaidi.
 
Umeme katika angle gani Sasa VETA NVA 1-3) au unasemea wa kwenye taasisi za elimu (NTA 4-6).

Maana VETA
1. Auto -electrics
2. Electrical installation
3. industrial electricity

Kwenye Taasisi za elimu
1. Electrical engineering
2. Electronics and telecommunication engineering
3. Computer engineering
4. Mechatronics

Hapo wewe sasa vile vile matokeo ya kidato cha 4 yanaruhusu hapo kwenye taasisi hizo bila kufaulu hesabu, physics na chemistry husomi.

Kingine cha msingi sana hizo fani ukiachana na darasani zinakutaka uwe mtundu mtundu mwenyewe usitegemee notes za skuli zikufikishe mbali penda kujiongeza mwenyewe hasa kote huko umeme na kompyuta wake.
 
Umeme katika angle gani Sasa VETA NVA 1-3) au unasemea wa kwenye taasisi za elimu (NTA 4-6).

Maana VETA
1. Auto -electrics
2. Electrical installation
3. industrial electricity

Kwenye Taasisi za elimu
1. Electrical engineering
2. Electronics and telecommunication engineering
3. Computer engineering
4. Mechatronics

Hapo wewe sasa vile vile matokeo ya kidato cha 4 yanaruhusu hapo kwenye taasisi hizo bila kufaulu hesabu, physics na chemistry husomi.

Kingine cha msingi sana hizo fani ukiachana na darasani zinakutaka uwe mtundu mtundu mwenyewe usitegemee notes za skuli zikufikishe mbali penda kujiongeza mwenyewe hasa kote huko umeme na kompyuta wake.
dogo yuko art hasomi sience asa itakuaje?
 
dogo yuko art hasomi sience asa itakuaje?
Aanzie VETA sasa kwasababu ataanza National Vocational Award 1 hadi 3 then kama ana mbavu anaendelea sasa na National Technical Award 4 hadi 6.

Kuhusu fani nadhani zote za umeme nimekuwekea pale VETA walizonazo kwa kurudia

1. Auto electrics
2. Industrial electricity
3. Electrical installation
4. Electronics

Kwahiyo itategemea na nyinyi mahitaji yenu hapo na nini mnahitaji ku dig deep ila zingatia ushauri kwamba kuwa bora ni mtu mwenyewe sasa akomae kujua siyo chuo ndiyo watamjenga.
 
Aanzie VETA sasa kwasababu ataanza National Vocational Award 1 hadi 3 then kama ana mbavu anaendelea sasa na National Technical Award 4 hadi 6.

Kuhusu fani nadhani zote za umeme nimekuwekea pale VETA walizonazo kwa kurudia

1. Auto electrics
2. Industrial electricity
3. Electrical installation
4. Electronics

Kwahiyo itategemea na nyinyi mahitaji yenu hapo na nini mnahitaji ku dig deep ila zingatia ushauri kwamba kuwa bora ni mtu mwenyewe sasa akomae kujua siyo chuo ndiyo watamjenga.
sawa nashkuru sana maana dog anapenda sana umeme na maswala ya designs
 
Mpelekeni kwenye ulimwengu wa electronics sasa huko atakutana na vitu zaidi ya hiyo design yake
sawa na ametuomba muda anasubiri matokeo aende veta apge short course ya umeme na computer koo unashaur tumpge umeme tu et kak?
 
Je anaweza akapata ajira katka mashrka mfan tanesco ? Na kama ndio mshahara wake utakuaje akiwa tanesco wa kawaida?
 
sawa na ametuomba muda anasubiri matokeo aende veta apge short course ya umeme na computer koo unashaur tumpge umeme tu et kak?
Umo kwenye electronics akipevuka vizuri hiyo computer ndiyo atakuja kucheza nayo kiundani hasa itategemea na yeye huyo muhusika ila kama ana nia kweli kabisa akishafikia kwenye digital electronics na kama kweli anapendelea kufukunyua vitu atafika mbali atajikuta anaelekea kwenye programming mwenyewe tu.

Computer hiyo mnayotaka akasome ya short course si hizi application software tu? Siyo mbaya kama anataka kujua Ms W, E n.k

Ila kama anataka tu Short course labda ana mtazamo wake ila kwasasa shule kubwa ipo YouTube mzee. Kimsingi awe nia ya kutaka kujua hakuna kitu kinachopatikana kwa urahisi anaweza kusoma VETA na bado akawa empty tu ishu ni yeye mwenyewe akomae sana.
 
Umo kwenye electronics akipevuka vizuri hiyo computer ndiyo atakuja kucheza nayo kiundani hasa itategemea na yeye huyo muhusika ila kama ana nia kweli kabisa akishafikia kwenye digital electronics na kama kweli anapendelea kufukunyua vitu atafika mbali atajikuta anaelekea kwenye programming mwenyewe tu.

Computer hiyo mnayotaka akasome ya short course si hizi application software tu? Siyo mbaya kama anataka kujua Ms W, E n.k

Ila kama anataka tu Short course labda ana mtazamo wake ila kwasasa shule kubwa ipo YouTube mzee. Kimsingi awe nia ya kutaka kujua hakuna kitu kinachopatikana kwa urahisi anaweza kusoma VETA na bado akawa empty tu ishu ni yeye mwenyewe akomae sana.
nashkur san kak vp naeza kupata contact zak il hata kwa normal txt tuweze kusaidiana ushaur?
 
Back
Top Bottom