- Thread starter
- #21
Alosema sio ajenda yake sababu haikuwa kipaumbele kwenye kampeni zake. Raisi hawezi kuzuia mchakato wa Katiba mpya sababu mchakato wake upo kwa mujibu wa sheria
Hivi unaelewa unachokiongea? huo mchakato ulikuwa umefikia wapi na ni nani anatakiwa auendeleze?