Je, Katiba ya CCM inamtaka kila Mwanachama wa CCM kumsifia Rais aliye madarakani?

Je, Katiba ya CCM inamtaka kila Mwanachama wa CCM kumsifia Rais aliye madarakani?

THE FIRST BORN

JF-Expert Member
Joined
Apr 24, 2019
Posts
2,224
Reaction score
4,472
Habari!

Nilikua napita Republic of Twitter nikakutana na Reply ya Kigwangala akisema kua CCM wote ni utamaduni wao kusifia Rais haijalishi vipi.

Sa najiuliza kama watu walio wengi Bungeni kazi yao ni kusifia tu na sio kukosoa je hawa watu wataleta mabadiliko kweli?

Kumbe hizi Mama anaupiga mwingi ni Sheria?

Je, ipo ndani ya katiba ya CCM?
Na kama ikitokea mtu kaivunja hasifii anakumbana na Adhabu gani?

Na ikiwa ipo, je sio kwamba CCM wanaminya uhuru Wanachama wao wa kutoa Maoni yao kinzani kwa Rais kwenye Public?
 
Habari!

Nilikua napita Republic of Twitter nikakutana na Reply ya Kigwangala akisema kua CCM wote ni utamaduni wao kusifia Rais haijalishi vipi.

Sa najiuliza kama watu walio wengi Bungeni kazi yao ni kusifia tu na sio kukosoa je hawa watu wataleta mabadiliko kweli?

Kumbe hizi Mama anaupiga mwingi ni Sheria?

Je, ipo ndani ya katiba ya CCM?
Na kama ikitokea mtu kaivunja hasifii anakumbana na Adhabu gani?

Na ikiwa ipo, je sio kwamba CCM wanaminya uhuru Wanachama wao wa kutoa Maoni yao kinzani kwa Rais kwenye Public?
Ccm ni majambazi tu,ukiteuliwa kazi yako moja,ni kutumika kumsifu mwenyekiti,hata kama ka Kaa "vibaya",we sifia tu unachokiona!!ndio maana ccm Kuna machawa wengi!!,
Na wao wanajua njaa waliyonayo vijana,hapo lazima wawashike makalio!
 
Ccm ni majambazi tu,ukiteuliwa kazi yako moja,ni kutumika kumsifu mwenyekiti,hata kama ka Kaa "vibaya",we sifia tu unachokiona!!ndio maana ccm Kuna machawa wengi!!,
Na wao wanajua njaa waliyonayo vijana,hapo lazima wawashike makalio!
Majizi Yapo
 
Habari!

Nilikua napita Republic of Twitter nikakutana na Reply ya Kigwangala akisema kua CCM wote ni utamaduni wao kusifia Rais haijalishi vipi.

Sa najiuliza kama watu walio wengi Bungeni kazi yao ni kusifia tu na sio kukosoa je hawa watu wataleta mabadiliko kweli?

Kumbe hizi Mama anaupiga mwingi ni Sheria?

Je, ipo ndani ya katiba ya CCM?
Na kama ikitokea mtu kaivunja hasifii anakumbana na Adhabu gani?

Na ikiwa ipo, je sio kwamba CCM wanaminya uhuru Wanachama wao wa kutoa Maoni yao kinzani kwa Rais kwenye Public?
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
FB_IMG_1669700079677.jpg
 
Back
Top Bottom