Je, Katibu Mkuu wa CHADEMA analipwa mshahara? Mbona Dkt. Slaa na Dkt. Mashinji wameondoka wakiwa wadaiwa sugu wa benki?

Je, Katibu Mkuu wa CHADEMA analipwa mshahara? Mbona Dkt. Slaa na Dkt. Mashinji wameondoka wakiwa wadaiwa sugu wa benki?

Na utawala ukibadilika watakula jeuri yao. Diplomats haawana madili ya maana akumbuke hilo.
Dr. aliharibiwa na ile nyumba yake ndogo....maana ilienda pale kwa mkakati wa u-festi ledi...iliposhindikana Lumumba wakaja na dau maza akalipitisha sasa hivi wanakula bata kwa mrija.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu, usihangaike kuuliza maswal ya maana kwa wasio na uelewa. Mleta mada ameshindwa hata kusema kama madeni hayo ni kabla hajawa Katibu mkuu, au CHADEMA alikuwa mdhamini. Ameshindwa kutambua malengo binafsi ya wadaiwa na ameona "kudaiwa" ni kashfa. Na ndio hawa hawa wanashadidia "tunakopesheka". Hajui hata dhana tu ya "ninadaiwa" imekuwa ni msaada mkubwa wa watu kuwa na finacial discipline.

Nchii hii ina vijana wajinga wengi sana.

Mleta mada ni mashine ya umbea
 
Akili nyingine bwana hivi kumbe mtu kudaiwa bank ni kwamba hana mshahara🙄🙄🙄
 
Back
Top Bottom