Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Huyo hana nafasi tenaNdugu Paul Makonda
Utashangazwa!Huyo hana nafasi tena
Inawezekana maana awamu hii wameitumikia ccm vizuriHalima Mdee na Nusrat Hanje wanatajwa kujaza nafasi hiyo (tetesi).
Sofia mbali ya kwamba Hana uwezo mkubwa kiuenezi lakini Hana makandokando Makubwa.Ndugu Paul Makonda
Unasemaje wewe kidudumtuHuyo hana nafasi tena
ππππππππHuyo hana nafasi tena
Mmebugi mnoUnasemaje wewe kidudumtu
Hana ushawishiππππππππ
Sijui nani alimlisha tangoporiiππππππππππ
Hakuna tulichokuwa hatukijui , angalia muda wa uziNaona BAVICHA mnaishi kwenye dunia yenu wenyewe.
sasa itakuaje kamanada mkuu?Upo uvumi kwamba Mrithi wa Sophia Mjema huenda akawa miongoni mwa wale Wabunge wasio na Chama ambao waliapishwa na Ndugai kwenye Gereji ya Bunge.
Halima Mdee na Nusrat Hanje wanatajwa kujaza nafasi hiyo (tetesi).
Hutakiwi kupuuza jambo hili , kwa vile ni dhahiri kwamba CCM imeishiwa watu, ndio maana hata Katibu Mkuu wa UVCCM ni miongoni mwa wale waliounga Juhudi wakati wa awamu ya 5.
Wakati tunaandika tulijua , lakini Makonda bila polisi hawezi kufanya kazi yoyote , uenezi ni ushawishisasa itakuaje kamanada mkuu?
ni Paulo Makonda bana sasa itakuaje na tunajipangaje?
unanifurahisha sana kamanda mkurungenzi......Wakati tunaandika tulijua , lakini Makonda bila polisi hawezi kudanya kazi yoyote
Acha kujipa umuhimu ambao hauna. Ulikuwa hujui kinachoendelea. CCM caught you and the acolytes off guard. There's no shame in accepting the inevitabilities of life.Hakuna tulichokuwa hatukijui , angalia muda wa uzi
Ile ban ya pompeo Hana athari kwa chama ,au serikali tuNdugu Paul Makonda