Je, Katibu Mwenezi mpya wa CCM atatokea kwa wahamiaji? Halima Mdee na Nusrat Hanje watajwa

Je, Katibu Mwenezi mpya wa CCM atatokea kwa wahamiaji? Halima Mdee na Nusrat Hanje watajwa

Upo uvumi kwamba Mrithi wa Sophia Mjema huenda akawa miongoni mwa wale Wabunge wasio na Chama ambao waliapishwa na Ndugai kwenye Gereji ya Bunge.

Halima Mdee na Nusrat Hanje wanatajwa kujaza nafasi hiyo (tetesi).

Hutakiwi kupuuza jambo hili , kwa vile ni dhahiri kwamba CCM imeishiwa watu, ndio maana hata Katibu Mkuu wa UVCCM ni miongoni mwa wale waliounga Juhudi wakati wa awamu ya 5.
Kesi Yao ile imeisha waliyojiita chadema au itakuwaje
 
Upo uvumi kwamba Mrithi wa Sophia Mjema huenda akawa miongoni mwa wale Wabunge wasio na Chama ambao waliapishwa na Ndugai kwenye Gereji ya Bunge.

Halima Mdee na Nusrat Hanje wanatajwa kujaza nafasi hiyo (tetesi).

Hutakiwi kupuuza jambo hili , kwa vile ni dhahiri kwamba CCM imeishiwa watu, ndio maana hata Katibu Mkuu wa UVCCM ni miongoni mwa wale waliounga Juhudi wakati wa awamu ya 5.
Hao ni wachadema mpaka 2025!
 
Upo uvumi kwamba Mrithi wa Sophia Mjema huenda akawa miongoni mwa wale Wabunge wasio na Chama ambao waliapishwa na Ndugai kwenye Gereji ya Bunge.

Halima Mdee na Nusrat Hanje wanatajwa kujaza nafasi hiyo (tetesi).

Hutakiwi kupuuza jambo hili , kwa vile ni dhahiri kwamba CCM imeishiwa watu, ndio maana hata Katibu Mkuu wa UVCCM ni miongoni mwa wale waliounga Juhudi wakati wa awamu ya 5.
Okay
 
Back
Top Bottom