wakusepa
Member
- Jan 24, 2013
- 83
- 5
Jaman nahtaj kwenda kusoma diploma ya sheria kule Tanga lakini sina uwezo wa ku-pay school fs na hata ndugu zng hawako na uwezo huo.mbali zaidi mimi ni yatima.
Je naweza kupata mtu wa kunifadhili kunisomesha?
Je ntampata wap? Na nianze vipi kumpata na je wanahtaj vigezo gan kuw sponsord
tafadharn nishaurn
Je naweza kupata mtu wa kunifadhili kunisomesha?
Je ntampata wap? Na nianze vipi kumpata na je wanahtaj vigezo gan kuw sponsord
tafadharn nishaurn