Je, kauli ya Makonda kuwa kuna Mawaziri wanamtukana Rais ndio imesababisha kuchaniwa mikeka?

Je, kauli ya Makonda kuwa kuna Mawaziri wanamtukana Rais ndio imesababisha kuchaniwa mikeka?

Marehemu Amina Chifupa aliwahi kusema "Kesho nitawataja wauza Madawa ya kulevya wote hata kama atakuwa Mume wangu.."

Kabla kesho haikufika, lilisikika tangazo redioni kuhusu Kifo chake.

Ndiyo sembuse kuharibu maisha ya Mawaziri waandamizi.....🙌
 
Marehemu Amina Chifupa aliwahi kusema "Kesho nitawataja wauza Madawa ya kulevya wote hata kama atakuwa Mume wangu.."

Kabla kesho haikufika, lilisikika tangazo redioni kuhusu Kifo chake.

Ndiyo sembuse kuharibu maisha ya Mawaziri waandamizi.....🙌
Vijana wa CAG ilikuwa Sumu vile vile,

Kila ubaya utalipwa hapa hapa duniani.

Coin Huwa na pande mbili.
 
Watajwe na nani zaidi ya huyo aliyesema? Labda kama kuna mtu mwingine tofauti na rais ambaye alimtajia hayo majina.

Otherwise subiri apate nafuu endapo alikuwa bado hajamwambia rais basi labda atakuambia.
 
Zile kauli zilikuwa maandalizi ambayo matokeo yake angalau tumeanza kuyaona juzi kwenye utenguzi.

Kauli zile zilipangwa ili kuficha ukweli kwamba waheshimiwa walikuwa wanaenda kupangiwa jukumu zito la 2024/25!

Jitahidini mkasomee Q-ba hata kozi mbili tatu, mtazielewa sawia hizi sarakasi za siasa.
 
Back
Top Bottom