Je, Kauli za Putin za kujigamba kuhakikisha anatimiza LENGO lake, VITA ya Ukraine inaonyesha atashinda vita hiyo?

Je, Kauli za Putin za kujigamba kuhakikisha anatimiza LENGO lake, VITA ya Ukraine inaonyesha atashinda vita hiyo?

joex

JF-Expert Member
Joined
Feb 18, 2011
Posts
1,598
Reaction score
1,294
Putin amekuwa na desturi ya kufanya mkutano wa mwisho wa mwaka wa Waandishi wa Habari, hata hivyo mwaka 2022 alishindwa kufanya mkutano huo kwakuwa vita ya Ukraine ilikuwa imemkalia vibaya.

Mwaka huu 2023, amerejesha tena utamaduni huo na ktk mkutano wake ameahidi kuendelea na vita hiyo ili kukamilisha lengo lake la kuuzika kabisa unazi ktk Taifa hilo la Ukraine.

Hatua hiyo imewafanya wachambuzi wa masuala ya vita kusema kuwa inaonyesha Putin ana uhakika kuwa anashinda kwenye vita hiyo:

Mm ni muumini mkubwa wa Biblia na Unabii wake. Niliisha andika uzi hume JF kuwa kufuatia unabii wa Daniel 11: 5-45 Unaozungumzia (King of the South- Alliance of US&UK na King of the North- Russia and his Allies like China and Iran) Russia hawezi kumshinda US/UK and their allies

Hivyo ingawa matukio yanaonyesha Ukraine kuelemewa, mm bado nina confidence kuwa something sudden and unexpected will happen and will change the trijectory of the war. Lets wait and see
 
Unabii huo wa Daniel ulikwisha timia. Na pia US kwa Rusia haiko kusini, ip[o Magharibi. Hivyo haiendani na unabii huo.
Daniel 11:5-45 describe the dynastic histories of the Ptolemies in Egypt (the king of the south) and the Seleucids in Syria (the king of the north)
,

Putin amekuwa na desturi ya kufanya mkutano wa mwisho wa mwaka wa Waandishi wa Habari, hata hivyo mwaka 2022 alishindwa kufanya mkutano huo kwakuwa vita ya Ukraine ilikuwa imemkalia vibaya. Mwaka huu 2023, amerejesha tena utamaduni huo na ktk mkutano wake ameahidi kuendelea na vita hiyo ili kukamilisha lengo lake la kuuzika kabisa unazi ktk Taifa hilo la Ukraine.
Hatua hiyo imewafanya wachambuzi wa masuala ya vita kusema kuwa inaonyesha Putin ana uhakika kuwa anashinda kwenye vita hiyo:
Mm ni muumini mkubwa wa Biblia na Unabii wake. Niliisha andika uzi hume JF kuwa kufuatia unabii wa Daniel 11: 5-45 Unaozungumzia (King of the South- Alliance of US&UK na King of the North- Russia and his Allies like China and Iran) Russia hawezi kumshinda US/UK and their allies
Hivyo ingawa matukio yanaonyesha Ukraine kuelemewa, mm bado nina confidence kuwa something sudden and unexpected will happen and will change the trijectory of the war. Lets wait and see
 
Vita inaenda vizuri kwa Urusi sababu anaiendesha kuhifadhi nguvu zake huku Ukrania anateseka vibaya kijeshi, kiuchumi na kisiasa. Wafadhili wake wengi nao wako hoi bin taaban kiuchumi na kisiasa kuna upinzani mkubwa huko magharibi kuhusu kupeleka misaada ukrania.
 
Putin amekuwa na desturi ya kufanya mkutano wa mwisho wa mwaka wa Waandishi wa Habari, hata hivyo mwaka 2022 alishindwa kufanya mkutano huo kwakuwa vita ya Ukraine ilikuwa imemkalia vibaya. Mwaka huu 2023, amerejesha tena utamaduni huo na ktk mkutano wake ameahidi kuendelea na vita hiyo ili kukamilisha lengo lake la kuuzika kabisa unazi ktk Taifa hilo la Ukraine.
Hatua hiyo imewafanya wachambuzi wa masuala ya vita kusema kuwa inaonyesha Putin ana uhakika kuwa anashinda kwenye vita hiyo:
Mm ni muumini mkubwa wa Biblia na Unabii wake. Niliisha andika uzi hume JF kuwa kufuatia unabii wa Daniel 11: 5-45 Unaozungumzia (King of the South- Alliance of US&UK na King of the North- Russia and his Allies like China and Iran) Russia hawezi kumshinda US/UK and their allies
Hivyo ingawa matukio yanaonyesha Ukraine kuelemewa, mm bado nina confidence kuwa something sudden and unexpected will happen and will change the trijectory of the war. Lets wait and see
Ujui biblia wewe
 
Putin amekuwa na desturi ya kufanya mkutano wa mwisho wa mwaka wa Waandishi wa Habari, hata hivyo mwaka 2022 alishindwa kufanya mkutano huo kwakuwa vita ya Ukraine ilikuwa imemkalia vibaya. Mwaka huu 2023, amerejesha tena utamaduni huo na ktk mkutano wake ameahidi kuendelea na vita hiyo ili kukamilisha lengo lake la kuuzika kabisa unazi ktk Taifa hilo la Ukraine.
Hatua hiyo imewafanya wachambuzi wa masuala ya vita kusema kuwa inaonyesha Putin ana uhakika kuwa anashinda kwenye vita hiyo:
Mm ni muumini mkubwa wa Biblia na Unabii wake. Niliisha andika uzi hume JF kuwa kufuatia unabii wa Daniel 11: 5-45 Unaozungumzia (King of the South- Alliance of US&UK na King of the North- Russia and his Allies like China and Iran) Russia hawezi kumshinda US/UK and their allies
Hivyo ingawa matukio yanaonyesha Ukraine kuelemewa, mm bado nina confidence kuwa something sudden and unexpected will happen and will change the trijectory of the war. Lets wait and see
Hakuna cha sudden... Marekani kama kawa keshawageuka now kahamia kwa kipenzi chake Israel anayepambana na mgambo mwezi wa 2 sasa
 
Putin amekuwa na desturi ya kufanya mkutano wa mwisho wa mwaka wa Waandishi wa Habari, hata hivyo mwaka 2022 alishindwa kufanya mkutano huo kwakuwa vita ya Ukraine ilikuwa imemkalia vibaya. Mwaka huu 2023, amerejesha tena utamaduni huo na ktk mkutano wake ameahidi kuendelea na vita hiyo ili kukamilisha lengo lake la kuuzika kabisa unazi ktk Taifa hilo la Ukraine.
Hatua hiyo imewafanya wachambuzi wa masuala ya vita kusema kuwa inaonyesha Putin ana uhakika kuwa anashinda kwenye vita hiyo:
Mm ni muumini mkubwa wa Biblia na Unabii wake. Niliisha andika uzi hume JF kuwa kufuatia unabii wa Daniel 11: 5-45 Unaozungumzia (King of the South- Alliance of US&UK na King of the North- Russia and his Allies like China and Iran) Russia hawezi kumshinda US/UK and their allies
Hivyo ingawa matukio yanaonyesha Ukraine kuelemewa, mm bado nina confidence kuwa something sudden and unexpected will happen and will change the trijectory of the war. Lets wait and see
Endelea kusubiri . ...hakuna kitakachotokes
 
Heheeee
Kama mlitegemea ama mnategemea kwamba Russia atashindwa hapo ukraine poleni sana
Yaani suala la kushindwa Russia pale Ukraine halipo namulisahau kabisa labda kama us na shost zake wanaweza watangaze vita ya moja kwa moja dhidi ya Russia na hawawezi
Mwisho kabisa Russia kaishaishinda hii vita wewe muumini wa bibilia na ndoto nyenginezo amka tu kutokea usingizini ulipo lala
 
Unabii huo wa Daniel ulikwisha timia. Na pia US kwa Rusia haiko kusini, ip[o Magharibi. Hivyo haiendani na unabii huo.
Daniel 11:5-45 describe the dynastic histories of the Ptolemies in Egypt (the king of the south) and the Seleucids in Syria (the king of the north)
,
Umemjibu vyema. [emoji419][emoji419][emoji375][emoji375]
 
Mwaka unaenda wa pili kuisha tunaanza wa tatu sasa hivi putin alisema siku3 au miaka mitatu
 
Putin amekuwa na desturi ya kufanya mkutano wa mwisho wa mwaka wa Waandishi wa Habari, hata hivyo mwaka 2022 alishindwa kufanya mkutano huo kwakuwa vita ya Ukraine ilikuwa imemkalia vibaya.

Mwaka huu 2023, amerejesha tena utamaduni huo na ktk mkutano wake ameahidi kuendelea na vita hiyo ili kukamilisha lengo lake la kuuzika kabisa unazi ktk Taifa hilo la Ukraine.

Hatua hiyo imewafanya wachambuzi wa masuala ya vita kusema kuwa inaonyesha Putin ana uhakika kuwa anashinda kwenye vita hiyo:

Mm ni muumini mkubwa wa Biblia na Unabii wake. Niliisha andika uzi hume JF kuwa kufuatia unabii wa Daniel 11: 5-45 Unaozungumzia (King of the South- Alliance of US&UK na King of the North- Russia and his Allies like China and Iran) Russia hawezi kumshinda US/UK and their allies

Hivyo ingawa matukio yanaonyesha Ukraine kuelemewa, mm bado nina confidence kuwa something sudden and unexpected will happen and will change the trijectory of the war. Lets wait and see
Wewe soma biblia kwa minajili ya kupata mwongozo wa kuishi vyema na binadamu mwenzio kisha uzima wa milele(if any).

Hayo ya unabii ni fumbo.
Biblia ilikuwepo, ipo na itakuwepo kwa ajili ya vizazi vilivyopo na vijavyo.

Kama huo unabii utatimia kwa sababu ya hii vita ya hawa 'wahuni', je inabidi biblia ifanyiwe marekebisho ili kuondoa hivyo vifungu!?
 
Back
Top Bottom