Kuua viongozi wa kitaifa, ni kosa la UHAINI
..hata mimi nilikuwa najiuliza swali hilo.
..kupanga kuua viongozi wa serikali ni UHAINI.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuua viongozi wa kitaifa, ni kosa la UHAINI
amefikishwa mahakamani........................... huyu watamuua nawambieni ukweli ndugu zangu.Viongozi wengine waliokamatwa Mwanza wameachiwa bila dhamana yaani polisi imewadhamini yenyewe
Mbowe tu ndio bado anashikiliwa Dar es Salaam na haujulikani yupo Kituo gani, hapo unaweza kukuta yupo kwenye Nyumba ya wasiojulikana ili kesho afikishwe mahakamani kwa tuhuma za ugaidi
Mama SASHA kachafuliwa saana na vyombo vya Maghalibi kaonekana kuminya haki na uhuru wa kujieleza, sasa kesho MBOWE ambaye ni kiongozi pekee aliyebaki atafikishwa mahakamani kwa tuuma za UGAIDI ili kuonyesha dunia kuwa Mbowe ni gaidi
Je bado mama anaupiga mwingi?
Yetu macho, SASHA Sijui unafail wapi
Hakuna atakeyeishi milele hapa Duniani!amefikishwa mahakamani........................... huyu watamuua nawambieni ukweli ndugu zangu.
Stupid!Hakuna atakeyeishi milele hapa Duniani!
Wote tutakufa siku zetu zikifika ila kuna wengine wanakufa mapema kabla ya siku zao kutokana na matendo yao ovu waliyoyafanya.
Gaidi ni mmoja tu wengine siyo magaidi ndiyo maana wamedhaminiwa. Usimtete Gaidi kwa kuwa husishwa wengineWamedhamini nini?Magaidi?
Kumbe ndo unakelele hv ikiingia( concept/ meseji)😂😂Mbona nyie Makenge ya kijani Mnamwabudu na kumtukuza Mwendawazimu aliekufa na kuoza,kunuka nakufikiwa kama zoga, na aliewambukiza UKICHAA wake , hatusemi,
Mda mwingine utumie kujisuuza shombo na upunzike bibie.
Wengine wamekamatwa kwa sababu gani?Gaidi ni mmoja tu wengine siyo magaidi ndiyo maana wamedhaminiwa. Usimtete Gaidi kwa kuwa husishwa wengine