chiziwafursa
JF-Expert Member
- May 22, 2024
- 558
- 827
Unauliza then unajijibu mwenyewe. Nyie ndo huwa mnatembea mkiongea wenyewe.Sasa wewe dogo unataka kufuga samaki ili iweje sasa
Vichaa mmekuwa wengi sana bongo hii.Mie naona hapo nahisi kama unatakiwa uchukue kibali si unajua hio nayo ni biashara kama zingine ila kwa tahasisi nenda google
Wewe huelewi ndo maana najiita chiziVichaa mmekuwa wengi sana bongo hii.
Au ndo unataka uipeleke thread mbiombio...
Naona wanachelewa ngoja nije nijipeleke nikajiandikishe banaAisee,wakupeleke milembe chap
Mtafute afisa uvuvi wa eneo ulilopo atakua abcNimesikia ukitaka kufuga samaki kibiashara watakiwa uwe na kibali maalum kinacho kuruhusu uweze kufanya huo ufugaji 1,je ni kweli au? . 2,kama ni hivyo je nitahasisi gani ina husika ? Nimekuja huku nahisi kwa urahisi na weza kupata watu wenye uzoefu na ufugaji wa samaki kwa maana na umind sana
Afisa uvuvi si ndio bwana masaki au sieMtafute afisa uvuvi wa eneo ulilopo atakua abc
Taasisi inaitwa NIMRIπNimesikia ukitaka kufuga samaki kibiashara watakiwa uwe na kibali maalum kinacho kuruhusu uweze kufanya huo ufugaji 1,je ni kweli au? . 2,kama ni hivyo je nitahasisi gani ina husika ? Nimekuja huku nahisi kwa urahisi na weza kupata watu wenye uzoefu na ufugaji wa samaki kwa maana na umind sana
Kirefu Chake ?Taasisi inaitwa NIMRIπ
Itapendeza zaidi ukimuona bwana samaki km yupo km hayupo muone afisa uvuvi mana kaz zao ndo hzo hzoAfisa uvuvi si ndio bwana masaki au sie
Oky huku yupo bwana masamaki wacha nije nikamuulizeItapendeza zaidi ukimuona bwana samaki km yupo km hayupo muone afisa uvuvi mana kaz zao ndo hzo hzo
Zanzibar International medical research institute.Kirefu Chake ?
Hata mimi naona ukifupisha si inakuwa ZIMRI NA WALA SIO NIMRIZanzibar International medical research institute.
,π π π π π π πHata mimi naona ukifupisha si inakuwa ZIMRI NA WALA SIO NIMRI