Je, kibamia ni kuanzia size gani?

Je, kibamia ni kuanzia size gani?

Mambo vipi, wanasema kuuliza sio ujinge, Eti nasikiaga kibamia kibamia leo nataka kujua hicho kibamia kinapimwaje yaani kuanzia inchi ngapi kushuka chini? Narudia tena kuuliza sio........ujinga.

Hapa kuna harufu mbaya tayar kwenye ndoa yako. Kama ushakuwa mtu mzima unahofu na size jiogope
 
Ngoja nikupe mfano. Ukiwa 5.5 ft u r short, ukiwa 5.7ft uko average, ukiwa 6ft u r tall na ukipita hata inchi moja umezidi urefu. Kwa perception ya wanawake.
We mtu wewe!!! futi 6 si ni urefu wa kaburi asee!! au hiyo papuch inayohimili ft ni ya kuedit!!!?
 
Hapa kuna harufu mbaya tayar kwenye ndoa yako. Kama ushakuwa mtu mzima unahofu na size jiogope
Hapana bro mimi sipo kokote ,alafu kuoa mzee hapana sijaoa, yani nioe kitu kinanimeza aisee kwa hali hyo si unaweza shangaa siku mtu anapasha kabla ya mechi kwakutumia chupa ya kilimanjaro ile kubwa,
 
hahaha
braza hakuna mtu mwenye dushe ya ft 5
ft 5.7 ni urefu wa Lionel Messi huo

hilo dushe la ft 6 ukiwa nalo utakuwa mtu wa aina gan jaman?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mbavu zangu
 
hahaha
braza hakuna mtu mwenye dushe ya ft 5
ft 5.7 ni urefu wa Lionel Messi huo

hilo dushe la ft 6 ukiwa nalo utakuwa mtu wa aina gan jaman?
Wengi tumezoea metric system haya mavipimo yanatuchanganya.....mie sikugundua mpaka ulivyo comment, atakuwa amemaanisha inch maana futi 6 ni urefu wa kitanda (kama tunavyosemaga kwenye 6 kwa 6)
 
Wanawake uwezi kuwalizisha mkuu ata uwe unamtulinga kama behewa LA itigi,...we jiamini who you are.. I promise you ,the one who going to stay won't even notice your flaws so stay real,..!?
 
Dume yeyote mwenye gegedo chini ya inch 5 akiwa amesimamisha huyo anakibamia .vibamia vimegawanyika katika nyanja mbili inch 2hadi3 nikibamia original inch 3hadi 4 kibamia wastani na inch 5 mwisho wa kibamia.
Nimecheka hatar
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
huyu jamaa atakuwa alihisi akisema futi ni nchi labda

la si hivo kwa vigezo vyake kila mtu ana kibamia.
Mkuu, sio mtu tu, hata Punda anaesifika kwa mjeledi wake nae atakua ana kibamia!!
 
Back
Top Bottom