Kaangalie msimamo wa ligiKwani yanga mnamafanikio yapi au mafanikio yenu ni kumfunga Simba?
Kwaiyo hayo ndo mafanikio? Maana kwenye African tournament Simba na yanga sawa au ulitaka timu zote kumi na sita ziongoze ligi?Kaangalie msimamo wa ligi
Kwa mantiki hiyo Simba ndo inamafanikioMafanikio ni timu kuwa na best performance
Mo anataka mpenzi wa 5imba aliyeko NAMBUNJU huko au aliyeko visiwa vya Ukara achangie mada kupitia insta live.[emoji23][emoji23][emoji23]wanazingua ndugu zetu hawa
Malengo yalikua ni yapi na timu ipi imefakia malengo yake?Kwaiyo hayo ndo mafanikio? Maana kwenye African tournament Simba na yanga sawa au ulitaka timu zote kumi na sita ziongoze ligi?
Kushinda club bingwa Africa sidhani kama Kuna timu imeyafikia malengoMalengo yalikua ni yapi na timu ipi imefakia malengo yake?