Je kibubu kitanisaidia?

Je kibubu kitanisaidia?

Kaifungulie fixed account ama bonus account.
kibubu kinaweza kububuliwa na watu wako wa karibu.
Ni uendawazimu kuweka akiba kwa kujinyima pesa ya kibongo kama huna ziada.Baada ya muda pesa iliyokuwa na uwezo wa kununua bundle la bati inashuka thamani kiasi kwamba unanunua realm ya karatasi tu!Nawapongeza wale wazee wa zamani walionunua mifugo kama ng'ombe na kuwafanya bank yao.Walikuwa na akili sana.Bora uweke USD ama dhahabu
 
Ni uendawazimu kuweka akiba kwa kujinyima pesa ya kibongo kama huna ziada.Baada ya muda pesa iliyokuwa na uwezo wa kununua bundle la bati inashuka thamani kiasi kwamba unanunua realm ya karatasi tu!Nawapongeza wale wazee wa zamani walionunua mifugo kama ng'ombe na kuwafanya bank yao.Walikuwa na akili sana.Bora uweke USD ama dhahabu
kiongozi sasa mfano una alfu hamsini utapata wapi ng'ombe?

kinachojadiliwa ni jinsi tuichange hyo alfu hamsini ili tupate pesa ya kununua ng'ombe tumfanye kama ndyo akiba na sio kukurupuka kununua tu wakati hela haitoshi

na haina maana ati tuweke ndani mpaka zifike nyiiingii tuu laa bali ifike kiasi then hyo pesa iwe na uwezo wa kununua bidhaa kama kiwanja au hzo dhahabu na ng'ombe..

umenipata kiongozi??

naomba mchango wako baada ya ufafanuzi huo
 
Ni uendawazimu kuweka akiba kwa kujinyima pesa ya kibongo kama huna ziada.Baada ya muda pesa iliyokuwa na uwezo wa kununua bundle la bati inashuka thamani kiasi kwamba unanunua realm ya karatasi tu!Nawapongeza wale wazee wa zamani walionunua mifugo kama ng'ombe na kuwafanya bank yao.Walikuwa na akili sana.Bora uweke USD ama dhahabu
kiongozi sasa mfano una alfu hamsini utapata wapi ng'ombe?

kinachojadiliwa ni jinsi tuichange hyo alfu hamsini ili tupate pesa ya kununua ng'ombe tumfanye kama ndyo akiba na sio kukurupuka kununua tu wakati hela haitoshi

na haina maana ati tuweke ndani mpaka zifike nyiiingii tuu laa bali ifike kiasi then hyo pesa iwe na uwezo wa kununua bidhaa kama kiwanja au hzo dhahabu na ng'ombe..

umenipata kiongozi??

naomba mchango wako baada ya ufafanuzi huo
 
Ni uendawazimu kuweka akiba kwa kujinyima pesa ya kibongo kama huna ziada.Baada ya muda pesa iliyokuwa na uwezo wa kununua bundle la bati inashuka thamani kiasi kwamba unanunua realm ya karatasi tu!Nawapongeza wale wazee wa zamani walionunua mifugo kama ng'ombe na kuwafanya bank yao.Walikuwa na akili sana.Bora uweke USD ama dhahabu
kiongozi sasa mfano una alfu hamsini utapata wapi ng'ombe?

kinachojadiliwa ni jinsi tuichange hyo alfu hamsini ili tupate pesa ya kununua ng'ombe tumfanye kama ndyo akiba na sio kukurupuka kununua tu wakati hela haitoshi

na haina maana ati tuweke ndani mpaka zifike nyiiingii tuu laa bali ifike kiasi then hyo pesa iwe na uwezo wa kununua bidhaa kama kiwanja au hzo dhahabu na ng'ombe..

umenipata kiongozi??

naomba mchango wako baada ya ufafanuzi huo
 
Back
Top Bottom