Je, kiitifaki Waziri mkuu wa Tanzania ni mkuu kuliko Makamu wa pili wa Rais wa Zanzibar?

Je, kiitifaki Waziri mkuu wa Tanzania ni mkuu kuliko Makamu wa pili wa Rais wa Zanzibar?

Ila maccm kwa wizi hamjambo. Eti muungano wetu upo kwenye wizara za ulinzi, mambo ya ndani, fedha na elimu. Yani muungano wa kikoloni kuliko wale wakoloni wa kizamani.

Kwa ufupi amri zote za kipolisi kijeshi na kifedha wanapokea kutokea bara...Nchi imeshindwa kujikomboa hata kuwa na benki kuu yake si uzwazwa huo. Mbaya zaidi Rais wao wa nchi anapitishwa na kamati kuu ya maccm. Yani wakati wazanzibar sasa wanakula urojo na kusugulia vipaji vya uso kwa allah wao huku bara kamati kuu ya maccm ipo bize kuwatafutia Rais ajaye.

Yani watu wa ile nchi sijawahi waelewa tangia nipate akili..Natamani sana kwenye ndoa yangu mke wangu awe kama nchi ya Zanzibar ingawa atakuwa amezidi uboya aisee.

Nchi gani Rais wao kanaitwa na kamati kuu ya CCM kupokea maagizo na pia wana uwezo kumuengua muda wowote? Halafu kuua soo wamempachika umakamu mwenyekiti wa CCM wa huko wa kudumu. Hajawahi kuhoji hata siku moja kwanini na yeye asiwe mwenyekiti. Nchi isiyo na jeshi lake ni nchi ya kitumwa!

Yani Wazanziberi mko maili milioni 100 mpaka kujitambua. Naona Fatma Karume yeye ameamua kujikombolea kule Twitter.
 
Nauliza kwa wale watu wanaoelewa vizuri mambo ya itifaki.

Katika sherehe za mapinduzi Zanzibar, Waziri mkuu mh Majaliwa aliingia uwanjani baada ya makamu wa pili wa Rais wa Zanzibar mh Idd Seif kuwa ameshaingia na wakati wa kuondoka alianza waziri mkuu kabla ya balozi Seif.

Karibu kwa majawabu.

cc Pascal Mayalla, FayzaFox

Hivi Mafia na wavamizi wana kuwa na itifaki ??
 
Zanzibar ni sehemu ya Tanzania/Zanzibar ni subset ya Tanzania

Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) ni mtoto kwa Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania (SMT)

Then usitarajie viongozi wa Muungano wakawa wadogo/chini ya viongozi wa Zanzibar


Zanzibar ni ngawira ya wavamizi kutoka Tanganyika
 
Ukitaka swali lako liwe tamu unatakiwa ujue kuwa Rais wa Zanzibar ni mjumbe ktk baraza la waziri la Tanzania,na makamu wake sio mjumbe ila waziri mkuu ni mjumbe,mpaka hapo utakuwa umeelewa kiitifaki kuwa Waziri mkuu ni mkubwa kuliko makamu wa rais wa zanzibar.Wajuzi wanirekebishe.

Sent using Jamii Forums mobile app
Na asipokiwepo M/kiti, basi baraza linaongozwa na Makamu wa raisi JMT
 
yeah kiitifaki makamu wa pili wa raisi wa zanzibar ni wa 6 kiukubwa.....uwe unatazama hata magari ya escort yale yanayobeba walinzi...raisi wa JMT ni E 1 (escort 1) makamu wa rais JMT ni E 2, raisi wa zanzibar ni E3, waziri Mkuu ni E 4, makamu wa kwanza wa rais zanzibar ni E 5 ambapo saivi hayupo, makamu wa pili wa raisi zanzibar ni E 6........hio nimeku elewesha kwa itifaki ya code za kiulinzi wa viongozi wa kitaifa yule ambae escort yake ni 1 means ndio mkubwa hivohivo no zinavyoshuka ndivo huonesha seniority

Sent using Jamii Forums mobile app
Ahsante

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sawa ila ujue mwanamfalme wa Saudia Prince Saud bin Abdulaziz bin Nasir al Saud ambao ni custodian wa Two Holy Mosque (Makka na Madina) naye wanamla kiboga. Yaani msimamizi wa Msikiti wa Mtume naye anapigwa pipe😂😂


 
Zanzibar ni sehemu ya Tanzania/Zanzibar ni subset ya Tanzania

Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) ni mtoto kwa Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania (SMT)

Then usitarajie viongozi wa Muungano wakawa wadogo/chini ya viongozi wa Zanzibar
Umemwelewesha vema kabisa.
 
Sawa ila ujue mwanamfalme wa Saudia Prince Saud bin Abdulaziz bin Nasir al Saud ambao ni custodian wa Two Holy Mosque (Makka na Madina) naye wanamla kiboga. Yaani msimamizi wa Msikiti wa Mtume naye anapigwa pipe😂😂


Hao hawana mamlaka ya kusamehe watu dhambi , wala hawaongozwi na Roho Mtakatifu au hulijui hilo ??

Wala hawako na Yesu wako
 
Hao hawana mamlaka ya kusamehe watu dhambi , wala hawaongozwi na Roho Mtakatifu au hulijui hilo ??
Wanasimamia na kutunza kaburi la mtume na nyumba ya Allah...lakini wanafukuliwa nyuma na ulabu wanapiga. Huoni hilo nikosa kubwa kuliko kusamehe dhambi? Halafu prince alikuwa analiwa na mbantu. Wewe hutaki kwenda kuonja sheikh?
 
Wanasimamia na kutunza kaburi la mtume na nyumba ya Allah...lakini wanafukuliwa nyuma na ulabu wanapiga. Huoni hilo nikosa kubwa kuliko kusamehe dhambi? Halafu prince alikuwa analiwa na mbantu. Wewe hutaki kwenda kuonja sheikh?

Hata wewe unaweza kusimamia kaburi ukisimu lakini huwezi kusamehe dhambi za watu . Papa mumempa mpaka utakatifu . Sasa utakatifu wa mambo ya ushoga ndio kafundisha Yesu na kuongozwa na Roho Mtakatif
 
Back
Top Bottom