G Sam
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 11,795
- 36,704
Ila maccm kwa wizi hamjambo. Eti muungano wetu upo kwenye wizara za ulinzi, mambo ya ndani, fedha na elimu. Yani muungano wa kikoloni kuliko wale wakoloni wa kizamani.
Kwa ufupi amri zote za kipolisi kijeshi na kifedha wanapokea kutokea bara...Nchi imeshindwa kujikomboa hata kuwa na benki kuu yake si uzwazwa huo. Mbaya zaidi Rais wao wa nchi anapitishwa na kamati kuu ya maccm. Yani wakati wazanzibar sasa wanakula urojo na kusugulia vipaji vya uso kwa allah wao huku bara kamati kuu ya maccm ipo bize kuwatafutia Rais ajaye.
Yani watu wa ile nchi sijawahi waelewa tangia nipate akili..Natamani sana kwenye ndoa yangu mke wangu awe kama nchi ya Zanzibar ingawa atakuwa amezidi uboya aisee.
Nchi gani Rais wao kanaitwa na kamati kuu ya CCM kupokea maagizo na pia wana uwezo kumuengua muda wowote? Halafu kuua soo wamempachika umakamu mwenyekiti wa CCM wa huko wa kudumu. Hajawahi kuhoji hata siku moja kwanini na yeye asiwe mwenyekiti. Nchi isiyo na jeshi lake ni nchi ya kitumwa!
Yani Wazanziberi mko maili milioni 100 mpaka kujitambua. Naona Fatma Karume yeye ameamua kujikombolea kule Twitter.
Kwa ufupi amri zote za kipolisi kijeshi na kifedha wanapokea kutokea bara...Nchi imeshindwa kujikomboa hata kuwa na benki kuu yake si uzwazwa huo. Mbaya zaidi Rais wao wa nchi anapitishwa na kamati kuu ya maccm. Yani wakati wazanzibar sasa wanakula urojo na kusugulia vipaji vya uso kwa allah wao huku bara kamati kuu ya maccm ipo bize kuwatafutia Rais ajaye.
Yani watu wa ile nchi sijawahi waelewa tangia nipate akili..Natamani sana kwenye ndoa yangu mke wangu awe kama nchi ya Zanzibar ingawa atakuwa amezidi uboya aisee.
Nchi gani Rais wao kanaitwa na kamati kuu ya CCM kupokea maagizo na pia wana uwezo kumuengua muda wowote? Halafu kuua soo wamempachika umakamu mwenyekiti wa CCM wa huko wa kudumu. Hajawahi kuhoji hata siku moja kwanini na yeye asiwe mwenyekiti. Nchi isiyo na jeshi lake ni nchi ya kitumwa!
Yani Wazanziberi mko maili milioni 100 mpaka kujitambua. Naona Fatma Karume yeye ameamua kujikombolea kule Twitter.