Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Kipa wa Man U Romero shida Nini! Mbona simwoni kikosini!
tatizo nyota mkuuArgentina tatizo sijui bahati! Ila huwa wanakua na kikosi kizuri mda wote
Hata Marcos Rojo amekosekana!Kipa wa Man U Romero shida Nini! Mbona simwoni kikosini!
Argentina labda wanaanza upya maana walikua na majina makubwa washaanza kuyapunguzaHata Marcos Rojo amekosekana!
Inawezekana mkuu, ngoja tuone majina mapya, yatapafom vp kwenye michuano hiyoArgentina labda wanaanza upya maana walikua na majina makubwa washaanza kuyapunguza
Inawezekana wamefeli kabla ya kuanzahawa ni hopeless kabisa hawadhaminiki
Nope mkuu, rejea copa america ya mwaka 2015 na 2016Kwa Copa America sioni kama kuna timu italeta changamoto sana ikiwa safu ya ushambuliaji ikikamia japo zipo mfano Peru n.k .
Argentina ya kipindi hiki inapata tabu sana kama ikikutana na mataifa nje ya america ( South & North)