ingekua hivyo bbade then kilevi kingetumika kama njia ya kupata ushahidi kwa wahalifu,ingekua kitu muhimu kwenye vituo vya police na magereza,unapiwa ka bia unatililika tu uovu wako wote (Imagine),lol 😀😀😀😀😀😀😀😀
Ni kweli kabisa. Ila inategemeana na mtumiaji mwenyewe. Kuna mwingine akinywa anafunguka na mwengine hawezi kabisa kuongea
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo nikitaka nijue unayoyaogopa kuniambia ukiwa sober nikununulie Wine tu?
Nitatafuta ile yenye kiwango cha juu usimalize chupa mapema.....teh teh
Kilevi kinatabia ya kumpeleka mtu kwe 'Free Mind State' hii ni hali ya kuwa huru kimtazamo, hisia na matendo, hivyo basi katika hali hii mtu haoni shida kuwasilisha hoja zake binafsi ama mitazamo yake ama hisia zake, katika hali hii pia mtu huwa hajali madhara/matokeo ya kuwasilisha mitazamo yake.Tupe ukweli kwa mifano basi...maana naamini ni Mingi
Napaswa kuyaamini?Kilevi kinatabia ya kumpeleka mtu kwe 'Free Mind State' hii ni hali ya kuwa huru kimtazamo, hisia na matendo, hivyo basi katika hali hii mtu haoni shida kuwasilisha hoja zake binafsi ama mitazamo yake ama hisia zake, katika hali hii pia mtu huwa hajali madhara/matokeo ya kuwasilisha mitazamo yake.
Hapa ndipo kama kuna mtu alikua anampenda na anaogopa kumwambia kwa kuhofia 'atanifikiriaje' atamwambia ukweli, kama kuna kitu kilikua kinamkwaza moyoni pia atakisema n.k
Kilevi kina raha yake ukikitumia kwa kiasi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kina nani hao. ....?
[emoji85][emoji85][emoji85]
Kuyaamini ni uamuzi wako tu. Ila unachopaswa kujua hicho ndio kilichomo ndani ya moyo wakeNapaswa kuyaamini?
Au kuyachukulia ni kilevi?
Maana kuna watu wanajua kutiririka acha kabisa. ..
Mara nyingi inakuwa hivyo. Mara nyingi maneno ya mnywaji yanakua na kaukweli ndani yakeWale wenzangu wa kufunguka....je ni kusema tunaongea yale ambayo tuliogopa kuyasema tukiwa sober au tunadanganya tu?
Mara nyingi inakuwa hivyo. Mara nyingi maneno ya mnywaji yanakua na kaukweli ndani yake
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo sio kila kitokacho moyoni ni chakuamini hata kama yamesemwa na mtu sober ....Kuyaamini ni uamuzi wako tu. Ila unachopaswa kujua hicho ndio kilichomo ndani ya moyo wake
Sent using Jamii Forums mobile app
Waswahili waliwahi kusema 'za kuambiwa changanya na zako'Kwahiyo sio kila kitokacho moyoni ni chakuamini hata kama yamesemwa na mtu sober ....
Inasemekana yakutoka moyoni ndio yenye ukweli
ingekua hivyo bbade then kilevi kingetumika kama njia ya kupata ushahidi kwa wahalifu,ingekua kitu muhimu kwenye vituo vya police na magereza,unapiwa ka bia unatililika tu uovu wako wote (Imagine),lol 😀😀😀😀😀😀😀😀