Bbade
JF-Expert Member
- Mar 15, 2013
- 6,725
- 21,818
Kwa yeyote yule aliyekwsiha kukaa karibu na mnywaji/wanywaji pombe, mtanielewa/mtaelewa pale kinywaji kinapo anza kumwagika mdomoni na siri zinapoanza kutoka nje.
Huu ni ukweli kwa wale tunao kunywa kila siku au wale tunao onja siku moja kwa mwezi…..
Kilevi kina kuweka huru kuonyesha hisia zako, ziwe nzuri za kupendeza au mbaya za kuumiza/kuudhi .
Je kuna ukweli kuwa yale maneno ni ya kweli na tunapaswa kuyachukulia maanani…..japokuwa yanatoka kwenye ubongo wenye kilevi?
Huu ni ukweli kwa wale tunao kunywa kila siku au wale tunao onja siku moja kwa mwezi…..
Kilevi kina kuweka huru kuonyesha hisia zako, ziwe nzuri za kupendeza au mbaya za kuumiza/kuudhi .
Je kuna ukweli kuwa yale maneno ni ya kweli na tunapaswa kuyachukulia maanani…..japokuwa yanatoka kwenye ubongo wenye kilevi?