Sina uzoefu na bia mkuu,ngoja wajuzi waje.Ndio nafikiria kuanza....unanishaurije?
Nakushauri endelea kunywa maji tu achana na wazo la kuanza kunywa beer [emoji38]Ndio nafikiria kuanza....unanishaurije?
Yeah bora ufanye hivyo. Tuachie sisi ambao tayari tulishajikuta kwenye unywaji tuendelee ila hatutaki newcomers.Sikujua Duniani bado kuna wenye mapendo/mapenzi ya kweli. ....
Nitaendeleza Sparkling H20 ...tu
[emoji4][emoji4][emoji4]
Sa ndio nakuambia sio poa kabisa. Ladha chungu kama alovera. Wanaokunywa wanajikaza tu.Oouuhhh! Mbaya wewe. ....ningependa kujua ladha yake na matokeo yake. ...
Nitabakia kusimuliwa huh?
In wine there's truth
Hahahahhaa umenikumbisha mseminari mmoja hivi, siku akishikika akajidunga wine lazima anipigie, utasikia Kasie my heartbeat, “En Vinno Veritas En Aqua Sanitas”.
Sijui nimepatia inavyoandikwa...
K’ Matata.
Hahahahhaa umenikumbisha mseminari mmoja hivi, siku akishikika akajidunga wine lazima anipigie, utasikia Kasie my heartbeat, “En Vinno Veritas En Aqua Sanitas”.
Sijui nimepatia inavyoandikwa...
K’ Matata.
Kaka unapunguza hadhi ya mke, maana ya mke ni msiri sasa nikiyatoa leo kesho nitakuwa mgeni wa nani?
Haya dada nimeacha kwa kweli.Kaka unapunguza hadhi ya mke, maana ya mke ni msiri sasa nikiyatoa leo kesho nitakuwa mgeni wa nani?
😂😂😂...na ukawa unarespond nn madame😊
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]my honeybash....nimecheka saana.
Msalimie huyo mseminari.
Huyo dadii yako anatumia wine gani/chubuku ipi maana toka nimeacha kumeza hayo mambo nalalamikiwa...simfurahishi mama yoyo.Hahahhahahaaa Daby......
Honeybash loooh mahaba haya hehehehehe.
Salamu nimezifikisha.