Itabidi nami niunge juhudi za afande Kvant mkono...leo msiniache.Mara ya mwisho nilitoa siri nachepuka na Sakayo. Akawa mkali... nikalewa tena nikamkonvisi akubali Sakayo awe mchepuko wangu. Akakubali.
Moral: Don't underestimate convinsing power of my dear K Vant
Ila nadhani wewe huhitaji pombe...mwandiko tu kama upo hivi je, ukiongea???Ndio nataka kuanza....
Ila sijui naanzaje
Huyo dadii yako anatumia wine gani/chubuku ipi maana toka nimeacha kumeza hayo mambo nalalamikiwa...simfurahishi mama yoyo.
Nakuona Manengelo,😂😂😂...na ukawa unarespond nn madame😊
Hahahahhaa umenikumbisha mseminari mmoja hivi, siku akishikika akajidunga wine lazima anipigie, utasikia Kasie my heartbeat, “En Vinno Veritas En Aqua Sanitas”.
Sijui nimepatia inavyoandikwa...
K’ Matata.
Nakuona Manengelo,
Hahaa, hivi ulimaanisha Chaka za starehe ama vipi?Kuna siku nikakuuliza chaka nzr zadom ukamute😢😢 hv ww wa kunimutia kweli jaman😢
Kwa yeyote yule aliyekwsiha kukaa karibu na mnywaji/wanywaji pombe, mtanielewa/mtaelewa pale kinywaji kinapo anza kumwagika mdomoni na siri zinapoanza kutoka nje.
Huu ni ukweli kwa wale tunao kunywa kila siku au wale tunao onja siku moja kwa mwezi…..
Kilevi kina kuweka huru kuonyesha hisia zako, ziwe nzuri za kupendeza au mbaya za kuumiza/kuudhi .
Je kuna ukweli kuwa yale maneno ni ya kweli na tunapaswa kuyachukulia maanani…..japokuwa yanatoka kwenye ubongo wenye kilevi?
Mwalimu nipo. Kwa wewe sihitaji tuition fee. Karibu BunjuNdio nataka kuanza....
Ila sijui naanzaje
Mpe maskini kileo, anywe asahau shida zake... (nimesahau kifungu na mstari, Mungu nisamehe)Mambo ya walawi 10:
9 Usinywe divai wala kileo cho chote, wewe, wala wanao pamoja nawe, hapo mwingiapo ndani ya hema ya kukutania, ili kwamba msife; amri hii itakuwa ni amri ya milele katika vizazi vyenu;
Hapo utaendelea kupotea maisha yako yote ya ulevi...Mpe maskini kileo, anywe asahau shida zake... (nimesahau kifungu na mstari, Mungu nisamehe)
Nitatumia kaneno haka mpaka nitakapotokomeza umaskini.
Bia itakapozidi kuwa tamu ntapendelea kuwa maskini ili hako ka mstari kanipeleke mbinguni
Hiyo hapo... kifungu cha 7 ndio njia yangu ya kwenda mbinguni.... hureeeHapo utaendelea kupotea maisha yako yote ya ulevi...
Mithali 31:
4 Ee Lemueli, kunywa mvinyo hakuwafai wafalme, hakuwafai wafalme; Wala haifai wakuu waseme, Ki wapi kileo?
5 Wasije wakanywa na kuisahau sheria, Na kuipotosha hukumu ya mtu aliye taabuni.
6 Mpe kileo yeye aliye karibu na kupotea; Kampe divai yeye aliye na uchungu nafsini.
7 Anywe akausahau umaskini wake; Asiikumbuke tena taabu yake.