Je! Kilevi kinatuweka HURU kusema hisia zetu? Ziwe Chanya au Hasi?

Mambo ya walawi 10:
9 Usinywe divai wala kileo cho chote, wewe, wala wanao pamoja nawe, hapo mwingiapo ndani ya hema ya kukutania, ili kwamba msife; amri hii itakuwa ni amri ya milele katika vizazi vyenu;
[emoji120][emoji120][emoji120]
 
Nilisoma sehemu.
Kuna kitu kinaitwa inhibition kwenye namna brain inavyofanya kazi, kuna vitu unazuiwa kuvifanya Kwa sababu ya hiyo kitu kwenye brain. Pombe inachokifanya ni kuiondoa hiyo inhibition. Unakuwa huru kama mtoa mada alivyosema. Na sio pombe tu, kuna drugs Na substance nyingi zinainterfere na namna ubongo unavyofanya kazi. Mfano drugs kama cocaine zinakufanya unakuwa furaha kweli kweli au kwa lugha ya malkia unakuwa na expansive mood.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…