Je kinachoendelea Dodoma ni makusudi au hali halisi?

Je kinachoendelea Dodoma ni makusudi au hali halisi?

twijuke

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2011
Posts
547
Reaction score
252
Wana janvi kinacho endelea Dodoma kuusiana na bunge la katiba, kinaanza kutia shaka na sintofahamu, ndani ya vichwa vya baadhi ya watanzania mimi nikiwemo, kuna kila dalili kanakwamba serikali haikuwa imejipanga. Mfano muda unaoendelelea kupotea pasipo bunge kufanya kazi pamoja na sababu lukuki zinazotajwa sasa inaanza kuonekana kana kwamba kuna jambo linapikwa tena kwa ustadi wa hali ya juu.

Huu ni wasiwasi tu kama kuna wa kutuondoa shaka atuweke wazi.
 
Acha kuilaumu serikali kila kitu, Wajumbe wa kuandaa kanuni na Miongozo ya Bunge la katiba ndio wamechelewa kuikamilisha tena Mwenyekiti wa hiyo kamati ni Profesa Mahalu, sasa hapo unasemaje Serikal haijajipanga? au ulitaka wajje na Miongoz yao akina lukuvi then wawape nyuma ya Pazia ili kwenda na muda?
 
Nahisi kama kuna wajumbe walinunua ujumbe(rushwa)kiasi cha kwamba kama ni laki tatu basi siku ziongezwe ili angalau kafaida kawepo we kanuni ni wiki nzima
 
Back
Top Bottom