Uchaguzi 2020 Je, kinachowaleta Marais wa nchi jirani ni kumpigia kampeni mwenyeji wao?

Uchaguzi 2020 Je, kinachowaleta Marais wa nchi jirani ni kumpigia kampeni mwenyeji wao?

Trust None

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2018
Posts
1,260
Reaction score
4,419
Mfululizo wa marais wa nchi jirani wanaokuja kutembelea Tanzania, kipindi hiki cha kampeni una lengo la kumpigia kampeni Magufuli?

Ukianzia kwa Rais wa Uganda, ukaja kwa Rais wa Burundi na sasa Rais wa Malawi, wote lazima waongelee 'Magufuli atashinda' kwani wana uhakika gani?

Natarajia marais zaidi wa nchi jirani kujitokeza kuja kumtembelea Mwenyeji wao.

Kura za Magufuli zitatokana na mambo aliyoyafanya tangu 2015 mpaka sasa. Sisi wananchi tunafahamu nini cha kufanya hapo Oktoba 28 kwasababu aliyeridhika na mambo hayo atampigia kura na ambaye hakuridhika basi atapiga kwingine.

Huu ni uchaguzi unaoenda kuamua ama tuendelee na hali kama ya 2015-2020 au tubadilishe upepo.
 
Wanampigia kampeni kwa nani sasa wakati mtu kama mimi tangu trh 26 August nilishafanya maamuzi ya kumchagua Tundu Lissu , yaani sisikii wala siambiliki hata aje Donald Trump kumpigia kampeni Meko sitabadili uamuzi wangu ng'ooooooooooo
 
Presdent wa myaya Hastings Kamuzu Banda wala hakuwa na time na Tanzania na Nyerere wake, akaja bibi Tembo naye vile vile, akaja yule aliyetaka ziwa nyasa lote naye tuaishia kuzozomokeana tu, kifupi Malawi hatuna kitu chochote cha kuchukua labdaa WAKISI wanaovua na kwenda kununua mihogo kule.
 
Wabongo wengi akili zenu ni pungufu...kuna siku huyu JPM mtamkumbuka na kurudi kusema afadhari JPM,kama sasa hivi mitaani waliomuita JK ni fisadi hafai..watu wale wale nowdays wanasema eti JK alikua bora sana na wanamkumbuka,so akili zao finyu ni kama za kwako
 
Wabongo wengi akili zenu ni pungufu...kuna siku huyu JPM mtamkumbuka na kurudi kusema afadhari JPM,kama sasa hivi mitaani waliomuita JK ni fisadi hafai..watu wale wale nowdays wanasema eti JK alikua bora sana na wanamkumbuka,so akili zao finyu ni kama za kwako
Over my dead body.
 
Kila mtu ana kiwango chake cha chini na cha juu cha kuhuzunika. Ni watu watatu tu duniani wasio ndugu zangu ambao wamewahi kunifikisha kwenye peak ya huzuni yangu;
1.Kifo cha Mwl Nyerere.
2.Kifo cha Princess Diana.
3.Shambulizi dhidi ya Lissu.

Kwa hiyo huzuni niliyopata sept 7,2017 nitailipiza Okt 28,2020.
 
Madikiteita wanajuana sana tena sana..... lkn safari hii wamezama. Hivi huyu si ndiye aliye wekwa kwa nguvu ya demokrasia ya umma? Kwa mahakama huru?
 
Nabii wa maendeleo? Yapi hayo yanayozidi ya wenzetu katika ukanda huu? Flyover? SGR? Stieglers? Ama nini?
Povu la nini? Kachagueni mimoendaye. Hamjashikiwa gobole kuwa usipomchagua unavyatuliwa kichwani..
 
Akifika Tanga au Arusha anayefuata kumtembelea na kumtia moyo ni Rais wa Kenya ndg Uhuru Kenyatta....

Japo sijui kama huyu jamaa (Kenyatta) atakubali mwaliko wake wa huu kijinga wakati wameshatukanana na kuchafuana sana ...
 
JPM akishapita awaondoe wasaidizi wake wamemuangusha Sana hasa polymaga, haiingii akilini msiba mkubwa Kama wa Mkapa ushindwe kufanywa kiinternational kulingana na hazi aliyokuwa nayo hata kwa viongozi kuja wamejifunika taulo kama alivyomwambia Mganda eti Sasa hivi ndo amuitie hao viongozi kwa mwaliko wa serikali wakati huu ambao anamajukumu ya muhimu.
 
JPM akishapita awaondoe wasaidizi wake wamemuangusha Sana hasa polymaga, haiingii akilini msiba mkubwa Kama wa Mkapa ushindwe kufanywa kiinternational kulingana na hazi aliyokuwa nayo hata kwa viongozi kuja wamejifunika taulo kama alivyomwambia Mganda eti Sasa hivi ndo amuitie hao viongozi kwa mwaliko wa serikali wakati huu ambao anamajukumu ya muhimu.
Walikuwa wakimdanganya. Sasa ukweli ameujua
 
Back
Top Bottom