Je, Kinana ni mzalendo?

Je, Kinana ni mzalendo?

Mkuu @kamindu, Kinana ni mmoja wa wazalendo wa kweli wa nchi hii!. Ni Kinana na Nape ndio wameiokoa CCM ile 2010 to 2015 kwa zile ziara zao za amsha amsha, baada ya kusoma bandiko hili CCM Imechokwa, CHADEMA Haijajipanga!, kwenye bandiko hili nilishauri

Ushauri huo ulifuatwa immediately, CCM wakamtoa Makamba, wakamuingiza Kinana, Nape na January na hapa ndio survival ya CCM ilipoanzia maana ilikuwa almost dead! Chadema ilikuwa wachukue nchi Yametimia!, CCM Imechokwa!, CHADEMA Njia Nyeupe 2015!-Jipangeni! hapa ni Kinana ameiokoa CCM!.

Baada ya issue ya uraia wa Azim Premji kuibuka, Kinana alirekebisha uraia wake kwa official declaration kama Bashe na Jenerali Ulimwengu, ila kiukweli kabisa kuna watu kibao tuu ambao sio raia wa Tanzania lakini ni wazalendo kuliko Watanzania wenyewe!, watu kama Joan Wickens, Amiri Jamal, Dr. Leader Starring, Oscar Kambona, Michael Kamaliza, Chinyama Chiume etc, hivyo Kinana ni mzalendo wa kweli kabisa wa Taifa hili!.

Kitendo cha Kinana kutukanwa na yule kichaa ile 2015 na ule ukichaa wa voice notes ulimfedhehesha sana Kinana nami niliuzungumza hapa, Psychoanalysis ya Waomba Msamaha Kwa Rais, Makamba Snr is the Next, Membe Will Never for Pride, Kiburi na Jeuri, Kinana Will Never for Integrity humu nilisema

Natumaini wale mnao ijua karma by now you can connect the dots usikute karma ya Kinana imechangia kwenye ile issue na huku kuwa elevated ni karmic consolations kumfidia!.
Nasisitiza Kinana ni mzalendo, and also karma is real, mtu akiwa mzalendo wa type kama ya Comred Kinana, mtu uki doubts uzalendo wake, ukaandika au kumshitumu, watu wakianza kum doubts kutokana na andiko lako, chochote negative kitakacho sababishwa na andiko lako, kitakuwa na karmic consequences
P.
Ccm ina survive kwa kuiba chaguzi. Hakuna cha Kinana wala Nnauye. Na hayati JPM, kwa kuwa hakuwa mnafiki alituonesha hilo waziwazi. Jeshi lako, polisi wako na tume yako, utashindwa vipi kujitangaza.

Na hii lawama Nyerere ndiye aliyeipanda. Angeruhusu CUF Wapewe ushindi wao kule Zanzibar 1995, ccm wangejifunza kukubali kushindwa. Keneth Kaunda aliruhusu upinzani kupewa nchi Zambia, na tangu hapo haijawahi kuwa tatizo mpinzani kupewa nchi anaposhinda. Jerry Rawlings aliruhus hilo Ghana. Na sasa ni biggest democracy in Africa.

Kwa hiyo hizo sijui Nape na Kinana ni porojo tu.
 
Ujinga ni mzigo !! 😅😅. Hata Obama wahafidhina wa kule walidai kuwa haiwezekani awe Rais maana hakuna uhakika kwamba alizaliwa Marekani, lakini baadae ushahidi wote ulionyesha alizaliwa marekani !! Uraia wa mtu unaanzia pale mtoto alipozaliwa sio uraia wa wazazi wake !! Hizo ni sheria za kimataifa isipokuwa kwa baadhi ya nchi chache sana zenye mambo ya kona kona nyingi ! Abracadabra !!!
MoJawapo ya nchi za kona kona ni Tz.
 
Sunda alibebwa sana na Sumaye kwasababu ya kabila lake aliuziwa hadi Mt Meru Hotel kwa bei ya kutupa.
Sunda alibebwa sana na Sumaye kwasababu ya kabila lake aliuziwa hadi Mt Meru Hotel kwa bei ya kutupa.
hapo sasa ndio alitakiwa aseme hivyo kwamba aliuziwa mt.Meru Hotel kwa bei ya kutupa ingawa na sii kupewa vitalu,Sunda long time toka apolo moto amepambana kivyake walikuja kujuana baada ya kupata jina na utajiri hivyo huwezi kusema utajiri wake umetokana na Sumai
 
Lakini kinana hajawahi kuomba uongozi au hili hulijui?tokea huo ubunge na uwaziri vyote anapewa tokea enzi ya Nyerere mpaka hii leo.
Lakini uzi wako umejaa chuki za kikabila mara wachaga,wambulu,wasomali na wahindi sijui ulitaka kufungamanisha vipi haya makabila na kinana,upo uwezekano pengine umasikini wako unaufungamanisha na haya makabila,so sad.
 
Kinana huwa anaombwa kusaidia...hajawahi kutaka mwenyewe kuongoza....Hana maneno mengi...anajua mipango..he is a winner....born winner ...the rest majungu
Kinana fisadi. Inasikitisha sana eti watu wanmwita ''comrade''. Kinana ni fisadi wa kutupwa na yuko pale kwa maslahi yake binafsi.
 
Lakini kinana hajawahi kuomba uongozi au hili hulijui?tokea huo ubunge na uwaziri vyote anapewa tokea enzi ya Nyerere mpaka hii leo.
Lakini uzi wako umejaa chuki za kikabila mara wachaga,wambulu,wasomali na wahindi sijui ulitaka kufungamanisha vipi haya makabila na kinana,upo uwezekano pengine umasikini wako unaufungamanisha na haya makabila,so sad.
Ndivyo unavyoamini. Sikulaumu kwani elimu ya Bongo inafanya wengi waone kilicho mbele ya macho yao tu.
 
Hao ndo wenye chama chao na wanaoamini nchi ni yao pia.
 
Ccm ina survive kwa kuiba chaguzi. Hakuna cha Kinana wala Nnauye. Na hayati JPM, kwa kuwa hakuwa mnafiki alituonesha hilo waziwazi. Jeshi lako, polisi wako na tume yako, utashindwa vipi kujitangaza.

Na hii lawama Nyerere ndiye aliyeipanda. Angeruhusu CUF Wapewe ushindi wao kule Zanzibar 1995, ccm wangejifunza kukubali kushindwa. Keneth Kaunda aliruhusu upinzani kupewa nchi Zambia, na tangu hapo haijawahi kuwa tatizo mpinzani kupewa nchi anaposhinda. Jerry Rawlings aliruhus hilo Ghana. Na sasa ni biggest democracy in Africa.

Kwa hiyo hizo sijui Nape na Kinana ni porojo tu.
Na huo ndio ukweli mchungu !!
 
Inakusaidia nini? Au kwasababu ni tajiri? Au ushamba na ushabiki wa kipumabavu
Ukiwa una uwezo wa kutumia sehemu ndogo ya akili iliyokubakia ungeweza kujua kwamba ni jibu kwa mtu aliyedai ni mbulu.
Umekurupuka na kudandia kisichokuhusu.
 
Tokea lini msomali akawa mzalendo ?
Wabantu kibao wamejaa humu ila wengi asili ni Malawi, Zambia, Burundi nk
Kwa kuwa hatuwezi kuwatofautisha hao na sisi basi tutaendelea kuwa hivyo na ubaguzi wa baadhi tu
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Back
Top Bottom