Je, kipara husababishwa na nini na kuna dawa?

Inategemea mana mi bibi yngu ana uwalaza mkubwa tu kwa hyo yeye maswala ya kusuka yamempitia pemeben kabisa.
 

Upara unatokana na urithi, kuna vitu hufuata wanaume tu, inaitwa sex linked heredity mfano Kipara, nywele za kwenye masikio nk .ni dominant character hupitia y chromosome ambayo haipatikani Kwa wanawake
 
Huu upara wa 'ke" ni nadhira sana kuvitambuwa !!



Vipara vya akina dada huawaga na sababu mbali mbali....!
 
Nilipata kusikia kua Upara hutokana na ngozi kuungua, yes kuungua but sio na moto au jua.

Iko hivi,
Unapofikiria sana,.unasababisha ubongo nao uwe bize. Sasa basi kama Simu ikiwa bize sana hupata moto ndio kichwa nacho hua hivyohivyo.

Moto huo hufanya kama kovu fulani ndio maana nywele hazioti.
 
sababu ya kipara ni upungufu wa hormone za kike kwenye mwili wa mwanaume, ndiyo maana wanawake ni wachache wenye vipara, na niliwai msikia mtaalam mmoja kwenye tv akisema, dawa rahisi ya kuondoa kipara ni kumpatia mtu hizo hormone zilizopungua kwa wingi, lakini tatizo ukipatiwa utaanza toka maziwa kama wanawake, angalia ata wale wanaobadilisha jinsia toka kiume kwenda kike hautawaona na vipara.

hata mimi ninacho, dawa ni kujikubali tu, hiyo mavitu ya kusugua kichwani utakuwa unajitafutia kansa ya baadae tu.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…