Je, kipi kifanyike kupunguza ukosefu wa ajira nchini?

Je, kipi kifanyike kupunguza ukosefu wa ajira nchini?

Bado natafuta

Senior Member
Joined
Oct 3, 2021
Posts
126
Reaction score
138
Hivi karibuni ajira nyingi mno zimetangazwa Tanzania katika Kada mbalimbali. Lakini hata hivyo inaonesha wazi kua uhitaji wa ajira ni mkubwa kuliko ajira zenyewe.

Kwa mfano mwanzoni mea mwezi huu watu 2100+ Kada afisa maendeleo msaidizi usaili wa kuandika kwa njia ya computer, majibu yalitoka watu 995 ambao wamepata alama kuanzia 70 ndio walioitwa kwenye oral interview. Wakati huo wanaohitajika watu 327 tuh.
Ustawi wa jamii nao walifanya usaili wa mchujo watu 680, walioitwa kwenye usaili wa mazungumzo ni 663 ambao wamepata alama kuanzia 50. Watu wanaohitajika ni 229.

Bado kuna Kada mbalimbali walioitwa pia.

Hivyo ukiangalia kwa makini uhitaji wa ajira bado ni mkubwa kuliko ajira zenyewe. Watu wanaitwa kwenye usaili wa mazungumzo lakini wanaohitajika ni 1/3 ya watahiniwa.
Achilia hilo watu wamemaliza miaka kumi iliyopita lakini bado hawana ajira
Nini maoni yako!!


Je nini maoni yako?

Unawashauri nini wenye uhitaji wa hizi ajira.?

Unaishauri nini serikali?
Unawashauri nini wasomi?
 
Hivi karibuni ajira nyingi mno zimetangazwa Tanzania katika Kada mbalimbali. Lakini hata hivyo inaonesha wazi kua uhitaji wa ajira ni mkubwa kuliko ajira zenyewe.

Kwa mfano mwanzoni mea mwezi huu watu 2100+ Kada afisa maendeleo msaidizi usaili wa kuandika kwa njia ya computer, majibu yalitoka watu 995 ambao wamepata alama kuanzia 70 ndio walioitwa kwenye oral interview. Wakati huo wanaohitajika watu 327 tuh.
Ustawi wa jamii nao walifanya usaili wa mchujo watu 680, walioitwa kwenye usaili wa mazungumzo ni 663 ambao wamepata alama kuanzia 50. Watu wanaohitajika ni 229.

Bado kuna Kada mbalimbali walioitwa pia.

Hivyo ukiangalia kwa makini uhitaji wa ajira bado ni mkubwa kuliko ajira zenyewe. Watu wanaitwa kwenye usaili wa mazungumzo lakini wanaohitajika ni 1/3 ya watahiniwa.
Achilia hilo watu wamemaliza miaka kumi iliyopita lakini bado hawana ajira
Nini maoni yako!!


Je nini maoni yako?

Unawashauri nini wenye uhitaji wa hizi ajira.?

Unaishauri nini serikali?
ajira ni nyingi mno kwenye sekta ya kilimo, ufugaji, biashara uvivu n.k

kuchagua kazi kumewachelewesha wasomi na kuwazeesha vijana wengi sana mtaani.

hata hivyo,
hawajachelewa, fursa na nafasi za ajira ni nyingi mno hususani msimu huu wa kilimo nchini 🐒 🐒
 
ajira ni nyingi mno kwenye sekta ya kilimo, ufugaji, biashara uvivu n.k


hata hivyo,
hawajachelewa, fursa na nafasi za ajira ni nyingi mno hususani msimu huu wa kilimo nchini 🐒 🐒
Je unawashauri nini kwa wale ambao hawakusomea kilimo, ufugaji,biashara na uvuvi. N.k

Je ajira zilizopo zitawatosha wasomi wote ambao hawana ajira waliopo mtaani?
 
Je unawashauri nini kwa wale ambao hawakusomea kilimo, ufugaji,biashara na uvuvi. N.k

Je ajira zilizopo zitawatosha wasomi wote ambao hawana ajira waliopo mtaani?
binafsi sijasoma kilimo, ufugaji, ualimu wala biashara,

but nalima, nafuga, nafundisha, nafanya biashara na hii kazi ya kutumikia wananchi ambayo ndio taaluma yangu nafanya kwa sehemu ndogo tu.

Gentleman,
ni kuthubutu tu, na mifano ipo wazi kwamba wamefanikiwa kwenye kazi ambazo ni nje kabisa na taaluma zao.

hata makazini,
wengi wanafanya kazi kwasabb ndiyo iliyopatikana lakini ni nje kabisa ya taaluma walizosomea.

Vijana wasomi wafanye maamuzi magumu bila kuchelewa, fursa na nafasi za ajira ni nyingi mno shambani 🐒
 
binafsi sijasoma kilimo, ufugaji, ualimu wala biashara,

but nalima, nafuga, nafundisha, nafanya biashara na hii kazi ya kutumikia wananchi ambayo ndio taaluma yangu nafanya kwa sehemu ndogo tu.

Gentleman,
ni kuthubutu tu, na mifano ipo wazi kwamba wamefanikiwa kwenye kazi ambazo ni nje kabisa na taaluma zao.

hata makazini,
wengi wanafanya kazi kwasabb ndiyo iliyopatikana lakini ni nje kabisa ya taaluma walizosomea.

Vijana wasomi wafanye maamuzi magumu bila kuchelewa, fursa na nafasi za ajira ni nyingi mno shambani 🐒
Umenena vyema je kwa Yule ambaye Hana shamba, kipi cha kumsaidia maana ktk mtaji wa kilimo ardhi ndio mtaji mkubwa.
Je kuna mashamba ya kuazima ili vijana wapige kazi na kama yapo utaratibu ipoje?
 
Hivi karibuni ajira nyingi mno zimetangazwa Tanzania katika Kada mbalimbali. Lakini hata hivyo inaonesha wazi kua uhitaji wa ajira ni mkubwa kuliko ajira zenyewe.

Kwa mfano mwanzoni mea mwezi huu watu 2100+ Kada afisa maendeleo msaidizi usaili wa kuandika kwa njia ya computer, majibu yalitoka watu 995 ambao wamepata alama kuanzia 70 ndio walioitwa kwenye oral interview. Wakati huo wanaohitajika watu 327 tuh.
Ustawi wa jamii nao walifanya usaili wa mchujo watu 680, walioitwa kwenye usaili wa mazungumzo ni 663 ambao wamepata alama kuanzia 50. Watu wanaohitajika ni 229.

Bado kuna Kada mbalimbali walioitwa pia.

Hivyo ukiangalia kwa makini uhitaji wa ajira bado ni mkubwa kuliko ajira zenyewe. Watu wanaitwa kwenye usaili wa mazungumzo lakini wanaohitajika ni 1/3 ya watahiniwa.
Achilia hilo watu wamemaliza miaka kumi iliyopita lakini bado hawana ajira
Nini maoni yako!!


Je nini maoni yako?

Unawashauri nini wenye uhitaji wa hizi ajira.?

Unaishauri nini serikali?
Unawashauri nini wasomi?
Wolper mdangaji
 
Hivi karibuni ajira nyingi mno zimetangazwa Tanzania katika Kada mbalimbali. Lakini hata hivyo inaonesha wazi kua uhitaji wa ajira ni mkubwa kuliko ajira zenyewe.

Kwa mfano mwanzoni mea mwezi huu watu 2100+ Kada afisa maendeleo msaidizi usaili wa kuandika kwa njia ya computer, majibu yalitoka watu 995 ambao wamepata alama kuanzia 70 ndio walioitwa kwenye oral interview. Wakati huo wanaohitajika watu 327 tuh.
Ustawi wa jamii nao walifanya usaili wa mchujo watu 680, walioitwa kwenye usaili wa mazungumzo ni 663 ambao wamepata alama kuanzia 50. Watu wanaohitajika ni 229.

Bado kuna Kada mbalimbali walioitwa pia.

Hivyo ukiangalia kwa makini uhitaji wa ajira bado ni mkubwa kuliko ajira zenyewe. Watu wanaitwa kwenye usaili wa mazungumzo lakini wanaohitajika ni 1/3 ya watahiniwa.
Achilia hilo watu wamemaliza miaka kumi iliyopita lakini bado hawana ajira
Nini maoni yako!!


Je nini maoni yako?

Unawashauri nini wenye uhitaji wa hizi ajira.?

Unaishauri nini serikali?
Unawashauri nini wasomi?
Wajenge viwanda zaidi na sekta binafsi....waongeze mazingira mazuri uwek3zaji....
Kilimo cha umwagiliajiii....wakopeshe vifaa ....na ujuzi pia
Uvuvi wa kisasa.....na vifaaa....
Viwanda vidogo vidogo.....na mitaji .....
 
Na kadri siku zinavyosonga hali inakuwa mbaya zaidi.
Viongozi hawajali wala hawana habari sababu yao yanawaendea na vizazi vyao wameshawatengenezea mirija.
 
Umenena vyema je kwa Yule ambaye Hana shamba, kipi cha kumsaidia maana ktk mtaji wa kilimo ardhi ndio mtaji mkubwa.
Je kuna mashamba ya kuazima ili vijana wapige kazi na kama yapo utaratibu ipoje?
actually,
wasio na mashamba ndio walipaswa kuhangaika na ajira za huko maofisini kwababu ni wachache mno wenye mazingira hayo.

Gentleman,
vijana graduates wanaozurura huko mjini kutafuta kazi baada ya kumaliza masomo, wameacha mashamba makubwa makubwa huko vijijini kwao,

halafu,
sasa hivi mambo ni kidigitali, unaweza kuomba kazi ukiwa shambani unalima na vile vile unaweza kupata kazi ukiwa una fuga au unavua samaki.

kisingizio cha kukosa ardhi ni dhaifu kidogo gentleman, Tz hakuna uhaba wa ardhi ya kilimo kabisa. Ardhi ni bwerere sana ni kuamua tu kuipata 🐒
 
actually,
wasio na mashamba ndio walipaswa kuhangaika na ajira za huko maofisini kwababu ni wachache mno wenye mazingira hayo.

Gentleman,
vijana graduates wanaozurura huko mjini kutafuta kazi baada ya kumaliza masomo, wameacha mashamba makubwa makubwa huko vijijini kwao,

halafu,
sasa hivi mambo ni kidigitali, unaweza kuomba kazi ukiwa shambani unalima na vile vile unaweza kupata kazi ukiwa una fuga au unavua samaki.

kisingizio cha kukosa ardhi ni dhaifu kidogo gentleman, Tz hakuna uhaba wa ardhi ya kilimo kabisa. Ardhi ni bwerere sana ni kuamua tu kuipata 🐒
KAZI mno
 
Tatizo la ajira liko duniani kote sio huku kwetu angalia nchi kama. Nigeria wasomi wengi ajira hamna sasa ndio wamejiajiri kwenye utapeli wa kimataifa na wale wa tuma kwa namba hii hili tatizo haliwezi kuisha mpaka mwisho wa kiama
 
Tatizo la ajira liko duniani kote sio huku kwetu angalia nchi kama. Nigeria wasomi wengi ajira hamna sasa ndio wamejiajiri kwenye utapeli wa kimataifa na wale wa tuma kwa namba hii hili tatizo haliwezi kuisha mpaka mwisho wa kiama
Tunapokuja swala la kuzungumza ukosefu wa ajira nchini hatuzungumzii nchi nyingine tunajiangalia, ni nchini sio Africa wala dunia.

Ni Sawa na unazungumza maendeleo ya nyumbani kwako hutaangaalia kwa sababu furani hajaendelea.
 
Sasa wewe kwa nchi kama tanzania Kuna njia Gani za kutatua swala la ajira ? Yaani hizo ni ndoto za abunuasi mkuu? Kama viongozi wako wanakwambia usome kwa bidii uje ujiajiri si jui unanielewa? Yaani nachokwambia hili tatizo haliwezi kuisha mpaka mwisho wa dunia na ndio maana nimekutolea mifano nchi kama Nigeria kataka Africa wako nafasi ya pili kiuchumi wameshindwa kutatua tatizo sasa tanzania watumie njia Gani ya miujiza Hilo jambo ni gumu sana na tatizo lingine naloliona huko mbele hawa wasomi wetu wanaoingia mitaani na hawana ajira hawana mitaji kinachofuata watakuwa Kama nigeria
 
Back
Top Bottom