Je, kipi kifanyike kupunguza ukosefu wa ajira nchini?

Je, kipi kifanyike kupunguza ukosefu wa ajira nchini?

Sasa wewe kwa nchi kama tanzania Kuna njia Gani za kutatua swala la ajira ? Yaani hizo ni ndoto za abunuasi mkuu? Kama viongozi wako wanakwambia usome kwa bidii uje ujiajiri si jui unanielewa? Yaani nachokwambia hili tatizo haliwezi kuisha mpaka mwisho wa dunia na ndio maana nimekutolea mifano nchi kama Nigeria kataka Africa wako nafasi ya pili kiuchumi wameshindwa kutatua tatizo sasa tanzania watumie njia Gani ya miujiza Hilo jambo ni gumu sana na tatizo lingine naloliona huko mbele hawa wasomi wetu wanaoingia mitaani na hawana ajira hawana mitaji kinachofuata watakuwa Kama nigeria
Kama unataka tufananishe nchi na nchi. Kabla hatujaendelea je unaifamu unemployment rate ya Qatar? Na kama unaifamu je hatuwezi kuwapita hawa?.

Kuna wakati mwingine tunatakiwa tuende mbali zaidi sio kuanza kufananisha hata nchi furani inayo. Twende in deep.

NB. uzi unasema nini kifanyike ili kupunguza tatizo la ajira nchini. Kama huna maoni juu ya hili, nyamaza
 
Kama unataka tufananishe nchi na nchi. Kabla hatujaendelea je unaifamu unemployment rate ya Qatar? Na kama unaifamu je hatuwezi kuwapita hawa?.

Kuna wakati mwingine tunatakiwa tuende mbali zaidi sio kuanza kufananisha hata nchi furani inayo. Twende in deep.

NB. uzi unasema nini kifanyike ili kupunguza tatizo la ajira nchini. Kama huna maoni juu ya hili, nyamaza
Ja
Kama unataka tufananishe nchi na nchi. Kabla hatujaendelea je unaifamu unemployment rate ya Qatar? Na kama unaifamu je hatuwezi kuwapita hawa?.

Kuna wakati mwingine tunatakiwa tuende mbali zaidi sio kuanza kufananisha hata nchi furani inayo. Twende in deep.

NB. uzi unasema nini kifanyike ili kupunguza tatizo la ajira nchini. Kama huna maoni juu ya hili, nyamaza
Hamna Cha kufanya nakwambia hili tatizo ni duniani kote wewe kwa ufahamu wako unataka kifanyike nini sasa ivi connection za unapewa kutokana na kamba ya urefu wako wewe unazani serikali itafanya nini? Graduate wangapi wako mtaani na wengine tuko nao wanajuta muda waliopoteza wanaingia mtaani wanakuta walioyatarajia hayapo na hayatakuwepo maisha
 
Hivi karibuni ajira nyingi mno zimetangazwa Tanzania katika Kada mbalimbali. Lakini hata hivyo inaonesha wazi kua uhitaji wa ajira ni mkubwa kuliko ajira zenyewe.

Kwa mfano mwanzoni mea mwezi huu watu 2100+ Kada afisa maendeleo msaidizi usaili wa kuandika kwa njia ya computer, majibu yalitoka watu 995 ambao wamepata alama kuanzia 70 ndio walioitwa kwenye oral interview. Wakati huo wanaohitajika watu 327 tuh.
Ustawi wa jamii nao walifanya usaili wa mchujo watu 680, walioitwa kwenye usaili wa mazungumzo ni 663 ambao wamepata alama kuanzia 50. Watu wanaohitajika ni 229.

Bado kuna Kada mbalimbali walioitwa pia.

Hivyo ukiangalia kwa makini uhitaji wa ajira bado ni mkubwa kuliko ajira zenyewe. Watu wanaitwa kwenye usaili wa mazungumzo lakini wanaohitajika ni 1/3 ya watahiniwa.
Achilia hilo watu wamemaliza miaka kumi iliyopita lakini bado hawana ajira
Nini maoni yako!!


Je nini maoni yako?

Unawashauri nini wenye uhitaji wa hizi ajira.?

Unaishauri nini serikali?
Unawashauri nini wasomi?
Fanya mpango wa kuyatoa Ma CCM madarakani. Yashaishiwa mbinu
 
Mipango ya muda mrefu, ni kujenga viwanda, weka mazingira mazuri kwa wawekezaji,
Mipango ya muda mfupi, hapa inahitajika diplomasia aggressive kweli kweli,
Kuna MOU Kati ya India na USA, UsA inachukua na kuajili vijana kibao kutoka India, kwenye nyanja za IT, uhandisi, udokta,
Pili mfumo wa elimu,urekebishwe kidogo, kuna vijana kibao, wangeweza kujiajiri kwenye music, tatizo, kuna vikwazo vingi,
Music, IT, kilimo(sio ule upuuzi wa Bashe kupeleka vijana kwenye makambi ya Julia, kama watumwa),
Tunahitaji impact ya kilimo kama ya Ukraine, nchi IPO vitamin kwa miaka miwwili, lakini inatoa msaada, wa tani 500! Kwa sylia
 
Asante kwa mchango wako. Je hizo kazi ambazo zipo serikali inatoa mchango gani ili VIJANA ambao hawana ajira wazipate?
lazima ujue kutofautisha kazi na ajira mkuu, Kazi zipo sana ni wewe tuu unaamua uishije, kama unasubiri ajira utasubiri sana, ila ukiamua kufanya kazi, kazi zipo nyingi shida ni uthubutu na kuchagua
 
Ja

Hamna Cha kufanya nakwambia hili tatizo ni duniani kote wewe kwa ufahamu wako unataka kifanyike nini sasa ivi connection za unapewa kutokana na kamba ya urefu wako wewe unazani serikali itafanya nini? Graduate wangapi wako mtaani na wengine tuko nao wanajuta muda waliopoteza wanaingia mtaani wanakuta walioyatarajia hayapo na hayatakuwepo maisha
Hili sio tatizo la kidunia, na kama lingekuwa tatizo la kidunia basi kusingekuwa na migrant
 
actually,
wasio na mashamba ndio walipaswa kuhangaika na ajira za huko maofisini kwababu ni wachache mno wenye mazingira hayo.

Gentleman,
vijana graduates wanaozurura huko mjini kutafuta kazi baada ya kumaliza masomo, wameacha mashamba makubwa makubwa huko vijijini kwao,

halafu,
sasa hivi mambo ni kidigitali, unaweza kuomba kazi ukiwa shambani unalima na vile vile unaweza kupata kazi ukiwa una fuga au unavua samaki.

kisingizio cha kukosa ardhi ni dhaifu kidogo gentleman, Tz hakuna uhaba wa ardhi ya kilimo kabisa. Ardhi ni bwerere sana ni kuamua tu kuipata
 
lazima ujue kutofautisha kazi na ajira mkuu, Kazi zipo sana ni wewe tuu unaamua uishije, kama unasubiri ajira utasubiri sana, ila ukiamua kufanya kazi, kazi zipo nyingi shida ni uthubutu na kuchagua
Ni kweli mkuu
 
ajira ni nyingi mno kwenye sekta ya kilimo, ufugaji, biashara uvivu n.k

kuchagua kazi kumewachelewesha wasomi na kuwazeesha vijana wengi sana mtaani.

hata hivyo,
hawajachelewa, fursa na nafasi za ajira ni nyingi mno hususani msimu huu wa kilimo nchini 🐒 🐒
Bro hatumaniishi biashsra ya kuuza mahindi, na ramba ramba za Azam, tunamaanisha biashara ya kukupatia kuanzia milioni 17 kwa mwaka, ili uweze usomeshe watoto hata shule za milioni 2 ,
Wapo vijana kibao wamemaliza ualimu,wapo kitaa, unsfikri hawaoni hizo "fulsa"unazozisema, kuku unafugia wapi? Unalima wapi? Hewani!? Ardhi unapata wapi? Unaenda morogoro kuomba tu, au unarudi kijijini massive, nachingwea, ufuge kuku, harsfu uwasafilishe mpaka Dar, upigwe Bao na traffic, mpaka ufike sokoni,uuze mzigo faster, upate mamilioni yako, ununue bati,cement, ukajenge mjengo bab kubwa madale!
Hz ni story unaleta baada ya kushiba,ukiwa umeshika smartphone, haupo field bro, vijana wa bongo wanapambana Sana, hizo biashara unazozisema, hazina mfumo kwa sababu, zina kero,urasimu mwingi, Bora nikope milioni 7,ninunue bajaji, kuliko kujenga banda la kufuga kuku,
Fika kahama, kalumwa migodini, uone vijana wanavyochapa kazi, degree zimewekwa pembeni, watu wamejaa tope,
 
Bro hatumaniishi biashsra ya kuuza mahindi, na ramba ramba za Azam, tunamaanisha biashara ya kukupatia kuanzia milioni 17 kwa mwaka, ili uweze usomeshe watoto hata shule za milioni 2 ,
Wapo vijana kibao wamemaliza ualimu,wapo kitaa, unsfikri hawaoni hizo "fulsa"unazozisema, kuku unafugia wapi? Unalima wapi? Hewani!? Ardhi unapata wapi? Unaenda morogoro kuomba tu, au unarudi kijijini massive, nachingwea, ufuge kuku, harsfu uwasafilishe mpaka Dar, upigwe Bao na traffic, mpaka ufike sokoni,uuze mzigo faster, upate mamilioni yako, ununue bati,cement, ukajenge mjengo bab kubwa madale!
Hz ni story unaleta baada ya kushiba,ukiwa umeshika smartphone, haupo field bro, vijana wa bongo wanapambana Sana, hizo biashara unazozisema, hazina mfumo kwa sababu, zina kero,urasimu mwingi, Bora nikope milioni 7,ninunue bajaji, kuliko kujenga banda la kufuga kuku,
Fika kahama, kalumwa migodini, uone vijana wanavyochapa kazi, degree zimewekwa pembeni, watu wamejaa tope,
Tanzania unababaika utafuga nini wapi na umesoma? hivyo vya traffic sijui kutoka nanchingwea na wapi sijui huko, ni story za kujikatisha tamaa gentleman, hakunaga kilimo biashara au biashara ya mahesabu ya kujitisha mwenyewe hivyo,

miaka yote tangu umemaliza chuo miaka 10 iliyopita unazurura tu mjini bila uhakika wa kesho huku unatumia biadhaa na mahitaji ya kila siku hususan vyakula, yanayazalishwa kutoka vijijini hususan kijinini kwenu? Kwanini usifanye maamuzi magumu yenye tija na ukatambua kwamba mjini ni soko kubwa la uhakika la kila kitu kutoka kijijini kwenu?

what is milioni 17 ukifuga nguruwe wako 10 kwa kuanzia, kuku 100 wa kienyeji na ngombe wa saizi ya kati madume hata 10 tu ya kunenepesha, achilia mbali kulima mazao biashara ya chakula kama vile alizeti na ufuta, mahindi, maharagwe, karanga mbaazi au mpunga? au kadiri uwezavyo?

mbona ardhi bwerere tu kijijini kwenu gentleman?
acha kubabaika na ualimua ambao unaweza kuanzisha shule yako kijijini na ukafundisha.

acheni uvivu acheni visingizio dhaifu kabisa hivyo my friends ladies and gentlemen 🐒
 
Tanzania unababaika utafuga nini wapi na umesoma? hivyo vya traffic sijui kutoka nanchingwea na wapi sijui huko, ni story za kujikatisha tamaa gentleman, hakunaga kilimo biashara au biashara ya mahesabu ya kujitisha mwenyewe hivyo,

miaka yote tangu umemaliza chuo miaka 10 iliyopita unazurura tu mjini bila uhakika wa kesho huku unatumia biadhaa na mahitaji ya kila siku hususan vyakula, yanayazalishwa kutoka vijijini hususan kijinini kwenu? Kwanini usifanye maamuzi magumu yenye tija na ukatambua kwamba mjini ni soko kubwa la uhakika la kila kitu kutoka kijijini kwenu?

what is milioni 17 ukifuga nguruwe wako 10 kwa kuanzia, kuku 100 wa kienyeji na ngombe wa saizi ya kati madume hata 10 tu ya kunenepesha, achilia mbali kulima mazao biashara ya chakula kama vile alizeti na ufuta, mahindi, maharagwe, karanga mbaazi au mpunga? au kadiri uwezavyo?

mbona ardhi bwerere tu kijijini kwenu gentleman?
acha kubabaika na ualimua ambao unaweza kuanzisha shule yako kijijini na ukafundisha.

acheni uvivu acheni visingizio dhaifu kabisa hivyo my friends ladies and gentlemen 🐒
Duuuuuh
 
Bro hatumaniishi biashsra ya kuuza mahindi, na ramba ramba za Azam, tunamaanisha biashara ya kukupatia kuanzia milioni 17 kwa mwaka, ili uweze usomeshe watoto hata shule za milioni 2 ,
Wapo vijana kibao wamemaliza ualimu,wapo kitaa, unsfikri hawaoni hizo "fulsa"unazozisema, kuku unafugia wapi? Unalima wapi? Hewani!? Ardhi unapata wapi? Unaenda morogoro kuomba tu, au unarudi kijijini massive, nachingwea, ufuge kuku, harsfu uwasafilishe mpaka Dar, upigwe Bao na traffic, mpaka ufike sokoni,uuze mzigo faster, upate mamilioni yako, ununue bati,cement, ukajenge mjengo bab kubwa madale!
Hz ni story unaleta baada ya kushiba,ukiwa umeshika smartphone, haupo field bro, vijana wa bongo wanapambana Sana, hizo biashara unazozisema, hazina mfumo kwa sababu, zina kero,urasimu mwingi, Bora nikope milioni 7,ninunue bajaji, kuliko kujenga banda la kufuga kuku,
Fika kahama, kalumwa migodini, uone vijana wanavyochapa kazi, degree zimewekwa pembeni, watu wamejaa tope,
Hiki ni kuzaa zaa
 
Tanzania unababaika utafuga nini wapi na umesoma? hivyo vya traffic sijui kutoka nanchingwea na wapi sijui huko, ni story za kujikatisha tamaa gentleman, hakunaga kilimo biashara au biashara ya mahesabu ya kujitisha mwenyewe hivyo,

miaka yote tangu umemaliza chuo miaka 10 iliyopita unazurura tu mjini bila uhakika wa kesho huku unatumia biadhaa na mahitaji ya kila siku hususan vyakula, yanayazalishwa kutoka vijijini hususan kijinini kwenu? Kwanini usifanye maamuzi magumu yenye tija na ukatambua kwamba mjini ni soko kubwa la uhakika la kila kitu kutoka kijijini kwenu?

what is milioni 17 ukifuga nguruwe wako 10 kwa kuanzia, kuku 100 wa kienyeji na ngombe wa saizi ya kati madume hata 10 tu ya kunenepesha, achilia mbali kulima mazao biashara ya chakula kama vile alizeti na ufuta, mahindi, maharagwe, karanga mbaazi au mpunga? au kadiri uwezavyo?

mbona ardhi bwerere tu kijijini kwenu gentleman?
acha kubabaika na ualimua ambao unaweza kuanzisha shule yako kijijini na ukafundisha.

acheni uvivu acheni visingizio dhaifu kabisa hivyo my friends ladies and gentlemen 🐒
Ila mkuu kuna baadhi kwako hawana ardhi.

Ila bado kwa kuazima ardhi inapatikana mtaji hata kuanzia eka moja inatosha
 
Back
Top Bottom