Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama nakumbuka vizuri ile case waliachiwa kwenye sheria kuna msemo unaotumika kuwa "huwezi fungua case kwa watu wale wale na kwenye case ile ile ambayo imeshatolewa maamuzi"Nauliza kama kisheria inawezekana kufufua kesi ya jinai iliyokuwa inamkabili Mbowe na wenzake.
Je, ili kesi ife inatakiwa ichukue miaka mingapi?