KAGEREKagere alifunga hayo magoli yote kipindi kile ligi ina timu 20. Kagere alifunga hayo magoli kipindi mshindi wa ligi anakula mil 80 sio sasa ambapo kila timu kwenye ligi inapata mgao wa haki za matangazo.
Yani kiufupi kipundi hiko kulikua na ukata sana
Sasa si kipindi hicho timu nyingi zina ukata ndio maana unaona Kagere anaongozaKAGERE
Idadi ya timu 20
Idadi ya mechi kwa kila timu 38....
Tuache kudhani. Lete facts ni mechi ngapi alikosa?Tutapataje dk walizochoza , maana hata kama timu ni 20 mechi zinaweza kuwa chache kuliko Mayele ,Mayele kila mechi alikuwepo,nadhani hata haizidi mechi nne ambazo hakwepo kwa misimu miwili aliyocheza
Achana sijui mambo ya ukata au tofauti ya zawadi kwa mshindi. Hawa ukitaka kuwapima hicho ndio kipimo chake.Sasa si kipindi hicho timu nyingi zina ukata ndio maana unaona Kagere anaongoza
KAGEREHata wewe ukiweka uzi mtu akuite nyani kama Lucy alivyosema lazima utareact.
Turudi kwenye takwimu kujenga hoja
Haya jifurahisheKAGERE
Idadi ya timu 20
Idadi ya mechi kwa kila timu 38
Idadi ya magoli 23
Average Goals per match 60.53%
MAYELE
Idadi ya timu 16
Idadi ya mechi kwa kila timu 30
Idadi ya magoli 17
Average Goals per match 56.67%
Takwimu gani unatakaMkuu leta takwimu kama unazifahamu tuweke ushabiki pembeni,tunachofanya ni kuoanisha takwimu
Unapataje average goal per match pasipo kuweka idadi ya mechi walizocheza kila mmoja?KAGERE
Idadi ya timu 20
Idadi ya mechi kwa kila timu 38
Idadi ya magoli 23
Average Goals per match 60.53%
MAYELE
Idadi ya timu 16
Idadi ya mechi kwa kila timu 30
Idadi ya magoli 17
Average Goals per match 56.67%
Kama kawaida ya mashabiki wa simba π π sasa jamaa unamtukana kakukosea nini? Tate Mkuu huyu huku mwingineMayele ni fala tu kwa Meddie.
Afu wa Utopolo ni wawili tu, J. K na Sande Manara TU....!Mashabiki wa Simba wa kuwatilia maanani kwa nyuzi na comments humu jukwaani ni Scars , CAPO DELGADO GENTAMYCINE Greatest Of All Time na wengine wawili au watatu hivi.
ndio lakini usilinganishe muda wa mayele na wa kagere,pia uwezo binafsi wa mayele na kagere ni mbingu na ardhiTuchukue misimu miwili ya Kagere alipojiunga Simba tuache misimu inayofuata ili tumlinganishe na Mayele.
Msimu wa Kwanza Kagere ana magoli 23
Msimu wa pili ana magoli 22.
Mayele msimu wa Kwanza ana magoli 16
Msimu wa pili ana magoli 17.
Hizo ni takwimu kwa ligi ya ndani.
Naomba wenye takwimu za assists zao kwa misimu hiyo atuwekee.
Halafu tuje kimataifa, magoli kwa misimu miwili na assists zao.
Halafu tuone nani bora kwanini mmoja anapambwa sana au style yake ya ushangiaji na siyo takwimu?
Basi tukiweka idadi ya mechi tutakuta kuna baadhi ya mechi kuna wenye walipigwa sub hawakucheza dakika zote 90, itatulazimu tuingie kwenye dakika walizocheza uwanjani.Unapataje average goal per match pasipo kuweka idadi ya mechi walizocheza kila mmoja?
Kwan rage alisemaje au umesahauMashabiki wa simba mnapenda sana kutukana! Huwa hamuwezi kabisa kumjibu mtu kwa hoja, isipokuwa kwa kuporomosha matusi ya nguoni.
Kama utachagua kum quote punguani na mnayefanana kwa kukosa akili sawa, mimi ni nani hata nibisheAfu wa Utopolo ni wawili tu, J. K na Sande Manara TU....!
Huyo ni mmoja wa wale mashabiki wa simba walioshukuru Fiston Kalala Mayele kuondoka. Maana aliwatetemesha kweli kweli.Kama kawaida ya mashabiki wa simba π π sasa jamaa unamtukana kakukosea nini? Tate Mkuu huyu huku mwingine
Any way ligi ilibadilika sana Azam Tv walivoweka hela ligi ilibadilika ghafla ni nani alijua mbeya city inaweza kushuka daraja? Hivi Ihefu ilivyoanza nani angeamini ingemfunga yanga na ikatoka mkiani , wengi waliamini Ihefu itaondoka ya kwanza kushika daraja
Tuchukue misimu miwili ya Kagere alipojiunga Simba tuache misimu inayofuata ili tumlinganishe na Mayele.
Msimu wa Kwanza Kagere ana magoli 23
Msimu wa pili ana magoli 22.
Mayele msimu wa Kwanza ana magoli 16
Msimu wa pili ana magoli 17.
Hizo ni takwimu kwa ligi ya ndani.
Naomba wenye takwimu za assists zao kwa misimu hiyo atuwekee.
Halafu tuje kimataifa, magoli kwa misimu miwili na assists zao.
Halafu tuone nani bora kwanini mmoja anapambwa sana au style yake ya ushangiaji na siyo takwimu?