Je, kitendo cha nchi ya Burundi kupenda kushirikiana zaidi na nchi moja ya 'EAC' ni Afya kwa 'Usalama' wake wa Taifa?

Je, kitendo cha nchi ya Burundi kupenda kushirikiana zaidi na nchi moja ya 'EAC' ni Afya kwa 'Usalama' wake wa Taifa?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Ni kawaida kabisa kuisikia nchi ya Burundi au kupitia Rais wake wakipenda sana 'Kujianika' juu ya Mipango yao ya 'Kiustawi' na 'Rasilimali' zake kwa nchi moja Rafiki ya Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC).

Je, Wabobezi wa Mambo ya Kiitifaki na Kiusalama kitendo hiki cha Taifa la Burundi kupenda 'Kujibebisha' na mpaka 'Kujitongozesha' kwa hiyo kiasi cha hata 'Siri' zake zote Kujulikana nayo si Hatari na Tishio kwa Usalama wake wa Taifa na huko mbeleni Mataifa haya (hayo) yakichenjiana na kuamua 'Kuzichapa' Burundi ikapigwa ndani ya Nusu Saa na ikawa ni Mkoa ndani ya nchi hiyo ambayo hata hivyo kwa bahati mbaya GENTAMYCINE nimeisahau japo nilikuwa naikumbuka mno kabla sijaanza Kuandika Uzi huu.

Ni matumaini yangu makubwa mno baada ya nchi ya Burundi kuiambia hiyo nchi rafiki kuwa sasa imegundua Madini ya Dhahabu na mengineyo pia itatoa Siri zake zaidi za wapi inaweka (inahifadhi) Silaha zake, huwa inapigana vipi Vita zake na Burundi kama nchi katika Hazina (Benki) yake mpaka sasa ina Shilingi ngapi kama Taifa.

Burundi imeamua 'Kujilipua' rasmi tu.
 
Kama inajibebisha kwa tz poa tu, tz huwa haitamani mali za mataifa mengine na wala haina kimuhemuhe kutamani rasirimali za nchi zingine
 
Ni kawaida kabisa kuisikia nchi ya Burundi au kupitia Rais wake wakipenda sana 'Kujianika' juu ya Mipango yao ya 'Kiustawi' na 'Rasilimali' zake kwa nchi moja Rafiki ya Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC).

Je, Wabobezi wa Mambo ya Kiitifaki na Kiusalama kitendo hiki cha Taifa la Burundi kupenda 'Kujibebisha' na mpaka 'Kujitongozesha' kwa hiyo kiasi cha hata 'Siri' zake zote Kujulikana nayo si Hatari na Tishio kwa Usalama wake wa Taifa na huko mbeleni Mataifa haya (hayo) yakichenjiana na kuamua 'Kuzichapa' Burundi ikapigwa ndani ya Nusu Saa na ikawa ni Mkoa ndani ya nchi hiyo ambayo hata hivyo kwa bahati mbaya GENTAMYCINE nimeisahau japo nilikuwa naikumbuka mno kabla sijaanza Kuandika Uzi huu.

Ni matumaini yangu makubwa mno baada ya nchi ya Burundi kuiambia hiyo nchi rafiki kuwa sasa imegundua Madini ya Dhahabu na mengineyo pia itatoa Siri zake zaidi za wapi inaweka (inahifadhi) Silaha zake, huwa inapigana vipi Vita zake na Burundi kama nchi katika Hazina (Benki) yake mpaka sasa ina Shilingi ngapi kama Taifa.

Burundi imeamua 'Kujilipua' rasmi tu.
Nini kinakuuma, kama hujui kutongoza waache wenzio wanaoweza wapewe
 
Ni kawaida kabisa kuisikia nchi ya Burundi au kupitia Rais wake wakipenda sana 'Kujianika' juu ya Mipango yao ya 'Kiustawi' na 'Rasilimali' zake kwa nchi moja Rafiki ya Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC).

Je, Wabobezi wa Mambo ya Kiitifaki na Kiusalama kitendo hiki cha Taifa la Burundi kupenda 'Kujibebisha' na mpaka 'Kujitongozesha' kwa hiyo kiasi cha hata 'Siri' zake zote Kujulikana nayo si Hatari na Tishio kwa Usalama wake wa Taifa na huko mbeleni Mataifa haya (hayo) yakichenjiana na kuamua 'Kuzichapa' Burundi ikapigwa ndani ya Nusu Saa na ikawa ni Mkoa ndani ya nchi hiyo ambayo hata hivyo kwa bahati mbaya GENTAMYCINE nimeisahau japo nilikuwa naikumbuka mno kabla sijaanza Kuandika Uzi huu.

Ni matumaini yangu makubwa mno baada ya nchi ya Burundi kuiambia hiyo nchi rafiki kuwa sasa imegundua Madini ya Dhahabu na mengineyo pia itatoa Siri zake zaidi za wapi inaweka (inahifadhi) Silaha zake, huwa inapigana vipi Vita zake na Burundi kama nchi katika Hazina (Benki) yake mpaka sasa ina Shilingi ngapi kama Taifa.

Burundi imeamua 'Kujilipua' rasmi tu.
Nadhani wana mwakilishi wao bwana yule wa kigoma angetupatia majibu mazuri hata yule mwingine ambaye babake alitokea huko wakahamia Kanda ya ziwa .
 
Ni kawaida kabisa kuisikia nchi ya Burundi au kupitia Rais wake wakipenda sana 'Kujianika' juu ya Mipango yao ya 'Kiustawi' na 'Rasilimali' zake kwa nchi moja Rafiki ya Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC).

Je, Wabobezi wa Mambo ya Kiitifaki na Kiusalama kitendo hiki cha Taifa la Burundi kupenda 'Kujibebisha' na mpaka 'Kujitongozesha' kwa hiyo kiasi cha hata 'Siri' zake zote Kujulikana nayo si Hatari na Tishio kwa Usalama wake wa Taifa na huko mbeleni Mataifa haya (hayo) yakichenjiana na kuamua 'Kuzichapa' Burundi ikapigwa ndani ya Nusu Saa na ikawa ni Mkoa ndani ya nchi hiyo ambayo hata hivyo kwa bahati mbaya GENTAMYCINE nimeisahau japo nilikuwa naikumbuka mno kabla sijaanza Kuandika Uzi huu.

Ni matumaini yangu makubwa mno baada ya nchi ya Burundi kuiambia hiyo nchi rafiki kuwa sasa imegundua Madini ya Dhahabu na mengineyo pia itatoa Siri zake zaidi za wapi inaweka (inahifadhi) Silaha zake, huwa inapigana vipi Vita zake na Burundi kama nchi katika Hazina (Benki) yake mpaka sasa ina Shilingi ngapi kama Taifa.

Burundi imeamua 'Kujilipua' rasmi tu.
Tall akae pembeni ausome mchezo au nae ajiunge na chapombe wafanye yakwao
 
Huenda Burundi hawana imani na Mataifa mengine ya EAC isipokuwa kwa taifa moja la Wakanda tu.

Lakini pia ukumbuke ana vita ya chini kwa chini dhidi wale majirani zake wawili, Wale majirani zake wamemsaliti kiasi cha kutosha.



Ni Taifa moja tu kutoka kule ukandani ambalo linampigania apate kiti cha kudumu kule SADC. Ndo ilo ilo liligoma kwa mara ya kwanza kuyatambua mapinduzi ya kijeshi dhidi ya Hayati.
 
Acha wivu na chuki zako za Kinyarwanda Kwa Warundi.

Tanzania ni Baba wa Burundi.
 
Hio nchi ni mkoa wa hilo taifa ambalo wanajibebisha........
 
Huenda Burundi hawana imani na Mataifa mengine ya EAC isipokuwa kwa taifa moja la Wakanda tu.

Lakini pia ukumbuke ana vita ya chini kwa chini dhidi wale majirani zake wawili, Wale majirani zake wamemsaliti kiasi cha kutosha.



Ni Taifa moja tu kutoka kule ukandani ambalo linampigania apate kiti cha kudumu kule SADC. Ndo ilo ilo liligoma kwa mara ya kwanza kuyatambua mapinduzi ya kijeshi dhidi ya Hayati.
SADC haiitakii Burundi maana inaona ana instability na ni maskini mno hana Cha kuwa offer, Ni vile Tz ndio imekomaa kumpigania lkn members wengine hawana habari nae.
Na Burundi wanafanya hivyo ili wawe salama kwao endapo yule jamaa tall wa pembeni yake akiwavamia, SADC iingilie kuwasaidia.
 
Ni kweli kabisa.. Hawa jamaa wametengwa na dunia(Amelica & urope) hasa kutokana na mambo yake ya ndani, hao wenye dunia wakizishawishi zile nchi majirani ziwatenge pia ila jirani mmoja akaona siyo sawa kumtenga jirani ambaye hauna ubaya nae.. Warundi kuona ivyo wakamuona jamaa ndiye rafiki wa kweli
 
SADC haiitakii Burundi maana inaona ana instability na ni maskini mno hana Cha kuwa offer, Ni vile Tz ndio imekomaa kumpigania lkn members wengine hawana habari nae.
Na Burundi wanafanya hivyo ili wawe salama kwao endapo yule jamaa tall wa pembeni yake akiwavamia, SADC iingilie kuwasaidia.
Raia wa burundi wanalifahamu ilo wengi wanaipenda sana tz
 
Huwezi itenganisha burundi na Tz..same Tz na Uganda au Tz na Commoro.yani ni ndugu wa kufa na kuzikana...hukumbuki kuna jamaa alipinduliwa akarudishwa ikulu na jwtz..
Sure
 
Ni kweli kabisa.. Hawa jamaa wametengwa na dunia(Amelica & urope) hasa kutokana na mambo yake ya ndani, hao wenye dunia wakizishawishi zile nchi majirani ziwatenge pia ila jirani mmoja akaona siyo sawa kumtenga jirani ambaye hauna ubaya nae.. Warundi kuona ivyo wakamuona jamaa ndiye rafiki wa kweli
China ina jicho kaliii mnoo wamewajengea jamaa jengo la bunge nafikiri na ikulu yao piaile mpya
 
Back
Top Bottom