Mtanzania Mzawa
JF-Expert Member
- Jul 2, 2017
- 401
- 405
Basi toa jibu , acha ngonjeraAcha kukariri wewe..
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Nini kimetokea..maana THE BOLD ni mtu makini kweli..lkn waropokaji naona "tupo" tu hatujui hata ban zinafananje[emoji23][emoji23]
Ngoja nikae kimya maana nishafunguliwa uzi kua najibu watu vibaya be care with me..Basi toa jibu , acha ngonjera
weka photooJe Kiusalama na Kiulinzi ni ' afya ' kwa Kiongozi yoyote yule wa nchi kulindwa na askari waliobeba silaha kali na nzito popote pale anapokuwa au hasa akiwa katika halaiki ya Watu? Na kama ni sahihi je hawa Walinzi wanaoonekana wamebeba hizi ' silaha ' nzito wanaaminika vipi na Wenzao waliopo kuwa labda hawawezi ' kugeuka ' nyuma au wale waliopo nyuma hawawezi ' kumshambulia ' Kiongozi wetu?
Nitafurahi sana endapo nitajibiwa haya maswali yangu kwani kwa siku za hivi karibuni namuona sana Rais wa huku nilipo nchini Puerto Rico ' akilindwa ' namna hiyo hivyo nikaona si vibaya nikiwauliza ' Wabobezi ' wa masuala ya Kiulinzi na Kiusalama mliopo huko Tanzania mnisaidie kunifafanulia Kitaaluma na Kiueledi kabisa.
Nawasilisha na karibuni mno nchini Puerto Rico wana JF.
Kua mstaarabu mkuu hilo sio jibu la swali tujitahidi kuheshimu idea za wenzetu kama huna jibu kaa usubiri kujifunza mkuuulitaka tujue uko puetarico
Mbona nipo huku siku nyingi sana Mkuu? Labda Wewe ni ' Mgeni ' Kwangu ila karibia 80% ya wana JF wanajua kuwa GENTAMYCINE naishi nchini Puerto Rico. Vipi unajisikia vibaya Mkuu kusikia Mimi naishi huku na Wewe mpaka sasa bado uko tu katika ' vumbi ' la Tanzania? Hata hivyo nitashukuru kama utanijibu swali langu.
Naamini ametaja hiyo Puerto Rico kama kinga flani kwa kuhoji mambo mazito.Usingetaja uliko unadhani usingejibiwa? Au ungejibiwa usingeyaelewa hayo majibu?
Wewe lazima ni MHAYA
Sema mkuu Jose utakuwa mtu flan simple na free mind sana huwa nakuona unavyojibu kashfa na lugha kali very simple I like your life style bro
Kwamba hapa huyu jamaa hajaeleweka au mbona mi najua hayuko PR ila katumia lugha ya pichaUsingetaja uliko unadhani usingejibiwa? Au ungejibiwa usingeyaelewa hayo majibu?
Wewe lazima ni MHAYA
ulichosema kina ukweli na hasa kwa mazingira ya sasa mtu anaweza kujilipua akamuua baba mwenyenyumba binadamu aaminiki kwa kiasi hicho.Je Kiusalama na Kiulinzi ni ' afya ' kwa Kiongozi yoyote yule wa nchi kulindwa na askari waliobeba silaha kali na nzito popote pale anapokuwa au hasa akiwa katika halaiki ya Watu? Na kama ni sahihi je hawa Walinzi wanaoonekana wamebeba hizi ' silaha ' nzito wanaaminika vipi na Wenzao waliopo kuwa labda hawawezi ' kugeuka ' nyuma au wale waliopo nyuma hawawezi ' kumshambulia ' Kiongozi wetu?
Nitafurahi sana endapo nitajibiwa haya maswali yangu kwani kwa siku za hivi karibuni namuona sana Rais wa huku nilipo nchini Puerto Rico ' akilindwa ' namna hiyo hivyo nikaona si vibaya nikiwauliza ' Wabobezi ' wa masuala ya Kiulinzi na Kiusalama mliopo huko Tanzania mnisaidie kunifafanulia Kitaaluma na Kiueledi kabisa.
Nawasilisha na karibuni mno nchini Puerto Rico wana JF.