Je, Kiusalama na Kiulinzi hiki ninachokiona sasa huku nchini Puerto Rico si hatari kwa Rais wetu?

Je, Kiusalama na Kiulinzi hiki ninachokiona sasa huku nchini Puerto Rico si hatari kwa Rais wetu?

Je Kiusalama na Kiulinzi ni ' afya ' kwa Kiongozi yoyote yule wa nchi kulindwa na askari waliobeba silaha kali na nzito popote pale anapokuwa au hasa akiwa katika halaiki ya Watu? Na kama ni sahihi je hawa Walinzi wanaoonekana wamebeba hizi ' silaha ' nzito wanaaminika vipi na Wenzao waliopo kuwa labda hawawezi ' kugeuka ' nyuma au wale waliopo nyuma hawawezi ' kumshambulia ' Kiongozi wetu?

Nitafurahi sana endapo nitajibiwa haya maswali yangu kwani kwa siku za hivi karibuni namuona sana Rais wa huku nilipo nchini Puerto Rico ' akilindwa ' namna hiyo hivyo nikaona si vibaya nikiwauliza ' Wabobezi ' wa masuala ya Kiulinzi na Kiusalama mliopo huko Tanzania mnisaidie kunifafanulia Kitaaluma na Kiueledi kabisa.

Nawasilisha na karibuni mno nchini Puerto Rico wana JF.
[HASHTAG]#Puerto[/HASHTAG] Rico
 
The Bold alipata majanga juzi aisee, ilihusika na kupost jina la website yake na kuiweka link ndio maana akala ban aseeh..so sad

Binafsi Niliandika uzi wa kusikitika Kwa kupigwa Ban kwa The Bold.
Ila Uongozi Uchwara wa Jukwaa hili wameufuta haupo hata kwenye server.

Hata, hapo nimetoa comment inawezekana ikafanyiwa editing ili waondoe jina la The bold na Nifah.

Au naweza nikapewa ban.

Very pathetic
 
Mbona nipo huku siku nyingi sana Mkuu? Labda Wewe ni ' Mgeni ' Kwangu ila karibia 80% ya wana JF wanajua kuwa GENTAMYCINE naishi nchini Puerto Rico. Vipi unajisikia vibaya Mkuu kusikia Mimi naishi huku na Wewe mpaka sasa bado uko tu katika ' vumbi ' la Tanzania? Hata hivyo nitashukuru kama utanijibu swali langu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mkuu njoo tuisome namba kwanini unatukimbia?
Wenzio tangu juzi hatujakula lunch tunabahatika kula cha usiku peke yake
 
Binafsi Niliandika uzi wa kusikitika Kwa kupigwa Ban kwa The Bold.
Ila Uongozi Uchwara wa Jukwaa hili wameufuta haupo hata kwenye server.

Hata, hapo nimetoa comment inawezekana ikafanyiwa editing ili waondoe jina la The bold na Nifah.

Au naweza nikapewa ban.

Very pathetic
So sad mkuu
 
Mbona nipo huku siku nyingi sana Mkuu? Labda Wewe ni ' Mgeni ' Kwangu ila karibia 80% ya wana JF wanajua kuwa GENTAMYCINE naishi nchini Puerto Rico. Vipi unajisikia vibaya Mkuu kusikia Mimi naishi huku na Wewe mpaka sasa bado uko tu katika ' vumbi ' la Tanzania? Hata hivyo nitashukuru kama utanijibu swali langu.
kwahiyo huko ndio unabeba box? hahahaha
 
Ngoja nikae kimya maana nishafunguliwa uzi kua najibu watu vibaya be care with me..
BTW Nakukumbusha chunga sana marinda yako yasije tatuliwa buree..

CIAO..
heee! uzi unasemaje huo? hebu nipe link yake
 
Kwani hujasikia tangazo LA yule karibu wa jumuiya wa puerto rico na yule mng'ang'ania kiti wa Puerto Rico? Au yanayoendelea kwenye lile eneo hadimu LA kabati? Au hauishi Puerto Rico? Vipi na Yale maingizo ya baba mwenye nyumba wa Puerto Rico kupambana na waliokua wanamfadhili yule aliyehitaji nyumba hiyo? Na hujui kuwa wapangaji wa nyumba hiyo ni waoga wakitishiwa fimbo wanaenda kuharisha na wake zao? Gentamicine unakua kama hujui maigizo ya Puerto Rico?
 
So sad mkuu


It's unbelievable. .

Unajua Nilisikitika sana kuwa sisi ndiyo tunaandika na kusoma hapa JF lakini bado Kwa issue ya website tu wanampiga " ban " The bold !?

Ila nikagundua kuwa waafrika wengi ni wabinafsi sana mfano ni hawa jamaa wa JF.
Wao wanafurahi sana kuona wakiendelea ila wengine hakuna kuinuana.

Angalia, wazungu koko na magabachori na warabu pori wanaushirikiano ila sisi ukijitokeza tu kidogo Wenzako uliotarajia kukuinua ndiyo wanaokuangamiza.

Ila JF uongozi wabadilike, watasababisha JF kuwa Kama vijiwe vya facebook visivyokuwa na maarifa na msaada.

Any way, I might be banned but, it's well and good.
 
1416073233148-jpg.202681


Njia hii ukiifuata utafika sehemu moja inatwa Kiabakari. Hapo ndio Puerto Rico.

Na ukiambaa ambaa na Mto Mara ukafika Wilaya ya Serengeti, ingia kata ya Kisaka. Kuna kijiji zamani kiliitwa Nyibokho, sasa hivi kinaitwa Costa Rica. Kule tunakula Kware wa porini na miwa, vitoga na kambale...raha sana Costa Rica

Ha ha ha ha ha ha ha ha Wewe ' Jamaa ' huwa ' unanipatia ' mno ' Kudadadeki ' zako. Halafu nimeshakushtukia lazima utakuwa ni ' Mhaya ' tu Mtani wangu na ndiyo maana kila ' Uchao ' huwa unanipiga ' madongo ' ya ukweli hadi nabaki ' Kucheka ' tu huku nilipo. Haya bhana!
 
The Bold alipata majanga juzi aisee, ilihusika na kupost jina la website yake na kuiweka link ndio maana akala ban aseeh..so sad
Mkuu lakini wewe kupitia kwa connections zako humu JF si unaweza fanya maarifa wakamfungulia Mkuu The Bold,maana ni mtu muhimu sana humu![emoji23]
 
Lina madhara na faida pia ila dunia imeendelea sana lazima vyombo vya ulinzi na usalama waendane na wawazidi maadui, Chinese SMG ni outdated
 
Watanzania kwa kujipenyeza hadi huko nako mpo? Unafanya nini huko aiseee, tafuta nchi za maana upige pesa sio kila nchi ya MTU mweupe unaweza piga pesa
 
Ha ha ha ha ha ha ha ha Wewe ' Jamaa ' huwa ' unanipatia ' mno ' Kudadadeki ' zako. Halafu nimeshakushtukia lazima utakuwa ni ' Mhaya ' tu Mtani wangu na ndiyo maana kila ' Uchao ' huwa unanipiga ' madongo ' ya ukweli hadi nabaki ' Kucheka ' tu huku nilipo. Haya bhana!
Ila mkuu si ulisema unaishi mwananyamala ww, ila jamaa kakuweza.
 
Ningeshauri Joseverest na mwenzako CHIKIRA MTABARI unganisheni nguvu zenu za pamoja anzisheni uzi wenu ' maalum ' wa kumuombea msamaha The Bold kwa ' Moderators ' wa JF ila kwa sasa katika huu ' uzi ' wangu kilichopo tu ni suala zima la ' Ulinzi ' kabambe hasa wa huyu Rais / Kiongozi huku nchini Puerto Rico nilipo kwa sasa sawa?
 
Back
Top Bottom