Je, Kiusalama na Kiulinzi hiki ninachokiona sasa huku nchini Puerto Rico si hatari kwa Rais wetu?

Je, Kiusalama na Kiulinzi hiki ninachokiona sasa huku nchini Puerto Rico si hatari kwa Rais wetu?

Ila mkuu si ulisema unaishi mwananyamala ww, ila jamaa kakuweza.

Huyo ' Jamaa ' huwa ananipatia mno na nahisi atakuwa ni Mtani wangu wa ' Kihaya ' ila ameishi mno Kwetu kwa ' Wanamume ' wa ' Shoka ' Mkoani Mara ( Musoma )
 
Ningeshauri Joseverest na mwenzako CHIKIRA MTABARI unganisheni nguvu zenu za pamoja anzisheni uzi wenu ' maalum ' wa kumuombea msamaha The Bold kwa ' Moderators ' wa JF ila kwa sasa katika huu ' uzi ' wangu kilichopo tu ni suala zima la ' Ulinzi ' kabambe hasa wa huyu Rais / Kiongozi huku nchini Puerto Rico nilipo kwa sasa sawa?
Unasemaje?^%$#@!^&%$#$#@ halafu wewe unajifanyaga una povu la foma, tenaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!
 
Huyo ' Jamaa ' huwa ananipatia mno na nahisi atakuwa ni Mtani wangu wa ' Kihaya ' ila ameishi mno Kwetu kwa ' Wanamume ' wa ' Shoka ' Mkoani Mara ( Musoma )
ririkuwa rinapambana na porisi tukalipigaa!!
 
Binafsi Niliandika uzi wa kusikitika Kwa kupigwa Ban kwa The Bold.
Ila Uongozi Uchwara wa Jukwaa hili wameufuta haupo hata kwenye server.

Hata, hapo nimetoa comment inawezekana ikafanyiwa editing ili waondoe jina la The bold na Nifah.

Au naweza nikapewa ban.

Very pathetic


Hata Nifah aliweka uzi wa masikitiko ya The bold kufungiwa, na pia akaweka ujumbe wa mumewe, ila ukafutwa. JF ina wenyewe!
 
Je Kiusalama na Kiulinzi ni ' afya ' kwa Kiongozi yoyote yule wa nchi kulindwa na askari waliobeba silaha kali na nzito popote pale anapokuwa au hasa akiwa katika halaiki ya Watu? Na kama ni sahihi je hawa Walinzi wanaoonekana wamebeba hizi ' silaha ' nzito wanaaminika vipi na Wenzao waliopo kuwa labda hawawezi ' kugeuka ' nyuma au wale waliopo nyuma hawawezi ' kumshambulia ' Kiongozi wetu?

Nitafurahi sana endapo nitajibiwa haya maswali yangu kwani kwa siku za hivi karibuni namuona sana Rais wa huku nilipo nchini Puerto Rico ' akilindwa ' namna hiyo hivyo nikaona si vibaya nikiwauliza ' Wabobezi ' wa masuala ya Kiulinzi na Kiusalama mliopo huko Tanzania mnisaidie kunifafanulia Kitaaluma na Kiueledi kabisa.

Nawasilisha na karibuni mno nchini Puerto Rico wana JF.
Kwa ufahamu wangu,ulinzi wa askari wenye silaha za moto zinazoonekana,achilia mbali huko 'Puerto Rica' hata huku ulipotukimbia kwa sasa zinaonekana ila sio salama sana 100% japokuwa kwa mazingira ya kiusalama. Nizungumzie huku manzese,ni kwamba,kuna vita ya chini chini ambayo inaendelea ambayo kama umewahi kusikia mkulu anasema amejitoa sadaka,baada ya kushika maslahi ya waroho wengi sasa kuna uwezekano wa kuwindwa na hao jamaa kwa namna yoyote. Sasa kinachofanyika,tofauti na kuwa na askari ambao sio armed kama awali,sasa hivi imebidi watumike mpaka hawa Tiss ambao ni uniformed and armed kuonesha kuwa mkulu analindwa kwa kiwango cha juu. Awali Polisi walikuaa wakitembea na silaha kwenye magari yao ya kusindikiza msafara -rear guard- na ilikuwa ni kosa kuonekana kwenye msafara wa Rais silaha ya moto,ila kwa sasa,watu wako full battle kukabiliana na yeyote wakati wowote hata mbele ya mkulu. Kama kusingekuwa na matishio yanayoendelea ya chini kwa chini hii kitu isingeweza kuonekana ila mpaka inaonekana inaashiria kuna dalili mbaya sehemu.
 
Je Kiusalama na Kiulinzi ni ' afya ' kwa Kiongozi yoyote yule .

Mleta uzi, hicho kiwazio chako hakifanyi kazi kwetu Labda Rwanda, Burundi na DR. Congo.

Kwa kifupi, kama vyombo vya ulinzi na usalama vinafanya kazi ya Kwa uzalendo na hakuna vibaka wanaofanya Ujanja wa kuiba Mali zetu na kuharibu uchumi wetu na kutaka kuwarubuni vijana wa ulinzi hicho hakitaa kamwe kitokee.

Kwa kifupi, hizo ndoto zako za mchana kweupe hazitakaa zitoke Katu.

Zaidi kawaambie Wenzako waliokutuma kuwa tutawachoresha Mstari mwekundu bila kyjelly
 
Hii Puerto Rico inayozungumzwa hapa siyo nchi ya wadanganyika kweli maana mkuu wa nchi ile juzi kwenye maonyesho ya tisatisa alikuwa full maaskari wenye masilaha.

Kiufupi hili jambo lina faida na madhara yake,tena makubwa!!
Ni ushamba tuuu, si unajua kwa ushamba kabila hili halina mpinzani
 
Mimi huwa najiuliza tu lile jengo refu pale karibia na taasisi ya kansa kama haliteweza kutumika kama observation post.
 
Vita ya Uchumi ni mbaya kuliko ya Kisiasa nazan umeelewa. .wakati ni ukuta ukishindana na wakati utaumia mfano rahsi fatilia Threads za kukosoa kila jema la JPM apa kuna ambao hawataki kuamin macho yao kua wakati wa deal umeshapta...no way ndege imeshapaa na tutafka kwenye Tanzania Mpya ambayo wajukuu na vitukuu Vyetu vitaifaidi mema ya Nchi hii...GOD BLESS YOU JPM
Hata atembee na jeshi zima myahudi akiamua kumtungua ni fasta tuuu
 
Ningeshauri Joseverest na mwenzako CHIKIRA MTABARI unganisheni nguvu zenu za pamoja anzisheni uzi wenu ' maalum ' wa kumuombea msamaha The Bold kwa ' Moderators ' wa JF ila kwa sasa katika huu ' uzi ' wangu kilichopo tu ni suala zima la ' Ulinzi ' kabambe hasa wa huyu Rais / Kiongozi huku nchini Puerto Rico nilipo kwa sasa sawa?


Ukianzisha uzi binafsi kuhusu :Thebold na [HASHTAG]#Nifah[/HASHTAG] mods na timu ya JF wanaumeza ukiwa bado wa moto. Na hutakaa oune hata kwenye server yao.
Binafsi, Nilitaka kutoa comment kwenye uzi wa nifah, wakaoupoteza na hadi sasa uzi wangu kuhusu hiyo issues ya ban Niliandika walipoonatu majina ya watu waliotukuka yaani, [HASHTAG]#Poise[/HASHTAG], [HASHTAG]#Thebold[/HASHTAG] na [HASHTAG]#Nifah[/HASHTAG] basi wakautupilia mbali huo uzi .

Binafsi kwa kuandika hivi tu naweza nipewe hata ban ya wiki 2 .

Any way, miafrika Ndivyo ilivyo mingi ina roho za giza na figisufigisu a.k.a roho za korosho
 
Hata Nifah aliweka uzi wa masikitiko ya The bold kufungiwa, na pia akaweka ujumbe wa mumewe, ila ukafutwa. JF ina wenyewe!
Uongozi na mods wa JF , wanajitoa ufahamu kwa kusahau kuwa wakifanya figisufigisu dhidi ya members wanaoandika humu mada zenye facts hili jukwaa la JF litakuwa Kama facebook.
 
Mbona nipo huku siku nyingi sana Mkuu? Labda Wewe ni ' Mgeni ' Kwangu ila karibia 80% ya wana JF wanajua kuwa GENTAMYCINE naishi nchini Puerto Rico. Vipi unajisikia vibaya Mkuu kusikia Mimi naishi huku na Wewe mpaka sasa bado uko tu katika ' vumbi ' la Tanzania? Hata hivyo nitashukuru kama utanijibu swali langu.
Ss unamuuliza vp mtu aliyeko kwenye vumbi?si uwaulize wa Puerto Rico wenzio....?nadhan umesahau umsemo wa wahenga unaosema...maskini akipata......
 
The Bold alipata majanga juzi aisee, ilihusika na kupost jina la website yake na kuiweka link ndio maana akala ban aseeh..so sad
Kwa hyo alikuwa anaipa promo blog yake ili ipate viewers wengi?
 
Kwa hyo alikuwa anaipa promo blog yake ili ipate viewers wengi?
Mmh sijajua kama ni promo lakini alikuwa anamaanisha miendelezo ya story zake nyingine ndio zipo kwenye website yake
 
Huku ulinzi upoje ukilinganisha na huu wa sasa wakwetu?
Aina hii inayofanywa sasa ni deterrance ziadi kuliko uhalisia. Hofu yako inaweza kuwa kweli, kwamba "wanaomlinda" sasa anaweza kutokea msaliti na akafanya yake.
Je unashauri ulinzi huo ufanyike vipi?
 
Daah so sad aisee The bold kala ban [emoji24][emoji24]
 
Mkuu pamoja na kutujulisha kuwa huko Puerto Rico rais wenu analindwa na wabeba mitutu; ni vema pia ukatujulisha vile vichwa vya treni kweli huyo rais havijui AU ANATAFUTA KICK KWA TRENI!
 
Je ni kweli huko Puerto Rico rais wenu amefanya ziara ya kushtukiza kwenye mechi ya timu za daraja la kwanza mjini Puerto City!?
 
Back
Top Bottom