Je, Kiwango chako cha fedha kikubwa cha kusave kwa mwezi ni kipi na nini kinakukwamisha usisave?

Je, Kiwango chako cha fedha kikubwa cha kusave kwa mwezi ni kipi na nini kinakukwamisha usisave?

Ze_Papirii

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2018
Posts
558
Reaction score
1,117
Habari wana JF

Natumaini tuna vipato tofauti tofauti humu ndani embu leo tupeane utaalamu kidogo wewe unaweza kusave kiasi gani kwa mwezi na ni asilimia ngapi ya kipato chako kwa mwezi hiyo ela unayosave na Je kama huwezi kusave kabisa ni nini kinakukwamisha.?

Binafsi kwa mwezi nimejiwekea kusave angalau Laki tatu(3) ambapo hadi sasa nina kama 2M za savings ambazo nnategemea kufungulia miradi huko mbele zikijaajaa.

Vipi wewe unayeweza kusave umefikia kiwango gani na lengo ni kiwango gani na unategemea kufanyia nini hyo pesa ukifikia hilo lengo?

Tujuzane hapa chini.👇👇👇
 
Habari wana JF

Natumaini tuna vipato tofauti tofauti humu ndani embu leo tupeane utaalamu kidogo wewe unaweza kusave kiasi gani kwa mwezi na ni asilimia ngapi ...
Mi huwa sisev, niziweke benki za nini?
Kwani bia zimeisha?
 
Financial freedom
Financial education
Financial literacy

Sijapata kiswahili fasaha cha hayo maneno hapo juu, ila elimu ya fedha ama ya kudhibiti uchumi binafsi ama wa familia inatakiwa ifundishwe nyumbani, mtoto aifahamu na kuielewa hiyo elimu pamoja na kanuni za fedha tqngu akiwa mdogo akue anaifahamu hivyo na wakumuelekeza na kumpa hiyo elimu/ huo ujuzi na udhibiti wa fedha ni wazazi ama walezi waliomlea.

Ukitegemea kupata hii elimu ukiwa shule ama chuo pia utafanikiwa ila hautakuwa nguli kama aliyekuwa na hiyo hulka tangu anatambua pesa haitoki hadi iingie na inayotoka inatakiwa iwe ndogo kuliko inayoingia ama laah ikitoka kubwa kuna matarajio itaingia kubwa zaidi kuliko iliyotoka na mduara unaendelea.

Tafakari mtoto anakua anafundishwa kusema uongo na walezi/wazazi wake ili kusavaivu maisha ama kuwa mjanja mjanja kukwepa kulipa vitu, kuwa mbabe, kuwa mdhulumishi.... what if mtoto huyohuyo angelelewa kila uchao anaona na anaambiwa kiwa na nidhamu ya fedha/kudhibiti uchumi.... akifika miaka 20 sio mwenzako.

Alamsiki.
 
Emergency money is not saving money bro.
Unapo tunza fedha ya dharura hiyo ni tofauti na kutunza fedha ya akiba mzeee
Nimekupata vzuri ila ni muhimu kuwa ni hivi vitu vitatu kwa pamoja:-
1.Emergency fund
2.Savings accnt
3.Investment fund
Tofauti na hapo emergency money itakua inafanya kazi isizostahili
 
Back
Top Bottom