Ze_Papirii
JF-Expert Member
- Oct 12, 2018
- 558
- 1,117
Habari wana JF
Natumaini tuna vipato tofauti tofauti humu ndani embu leo tupeane utaalamu kidogo wewe unaweza kusave kiasi gani kwa mwezi na ni asilimia ngapi ya kipato chako kwa mwezi hiyo ela unayosave na Je kama huwezi kusave kabisa ni nini kinakukwamisha.?
Binafsi kwa mwezi nimejiwekea kusave angalau Laki tatu(3) ambapo hadi sasa nina kama 2M za savings ambazo nnategemea kufungulia miradi huko mbele zikijaajaa.
Vipi wewe unayeweza kusave umefikia kiwango gani na lengo ni kiwango gani na unategemea kufanyia nini hyo pesa ukifikia hilo lengo?
Tujuzane hapa chini.👇👇👇
Natumaini tuna vipato tofauti tofauti humu ndani embu leo tupeane utaalamu kidogo wewe unaweza kusave kiasi gani kwa mwezi na ni asilimia ngapi ya kipato chako kwa mwezi hiyo ela unayosave na Je kama huwezi kusave kabisa ni nini kinakukwamisha.?
Binafsi kwa mwezi nimejiwekea kusave angalau Laki tatu(3) ambapo hadi sasa nina kama 2M za savings ambazo nnategemea kufungulia miradi huko mbele zikijaajaa.
Vipi wewe unayeweza kusave umefikia kiwango gani na lengo ni kiwango gani na unategemea kufanyia nini hyo pesa ukifikia hilo lengo?
Tujuzane hapa chini.👇👇👇