DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
πMie nasave 0 kila mwezi. Najua baada ya miezi kadhaa nitakuwa na zero nyingi kisha mwezi unaofuata nitasave 1 kisha nitakuwa na 10000000000000000000000000000000 kwenye account yangu
Ujumbe mzuri sana kupitia hii thread tutajua level ya financial literacy ya watu wengiFinancial freedom
Financial education
Financial literacy
Sijapata kiswahili fasaha cha hayo maneno hapo juu, ila elimu ya fedha ama ya kudhibiti uchumi binafsi ama wa familia inatakiwa ifundishwe nyumbani, mtoto aifahamu na kuielewa hiyo elimu pamoja na kanuni za fedha tqngu akiwa mdogo akue anaifahamu hivyo na wakumuelekeza na kumpa hiyo elimu/ huo ujuzi na udhibiti wa fedha ni wazazi ama walezi waliomlea.
Ukitegemea kupata hii elimu ukiwa shule ama chuo pia utafanikiwa ila hautakuwa nguli kama aliyekuwa na hiyo hulka tangu anatambua pesa haitoki hadi iingie na inayotoka inatakiwa iwe ndogo kuliko inayoingia ama laah ikitoka kubwa kuna matarajio itaingia kubwa zaidi kuliko iliyotoka na mduara unaendelea.
Tafakari mtoto anakua anafundishwa kusema uongo na walezi/wazazi wake ili kusavaivu maisha ama kuwa mjanja mjanja kukwepa kulipa vitu, kuwa mbabe, kuwa mdhulumishi.... what if mtoto huyohuyo angelelewa kila uchao anaona na anaambiwa kiwa na nidhamu ya fedha/kudhibiti uchumi.... akifika miaka 20 sio mwenzako
Safiii, unasave sehemu gan na lengo ni lipi.?Na save 85% ya kipato
Hakika mzeeKuweka AKIBA - ni tabia
Wala hautaji kutumia nguvu kuna watu wenye tabia ya kuweka akiba hata akipata 10K lazima atunze chochote kitu.
Hongera tajiriiinalaza laki saba kilasiku.
ninahela chafu madogo
Pesewa 20Habari wana JF
Natumaini tuna vipato tofauti tofauti humu ndani embu leo tupeane utaalamu kidogo wewe unaweza kusave kiasi gani kwa mwezi na ni asilimia ngapi ya kipato chako kwa mwezi hiyo ela unayosave na Je kama huwezi kusave kabisa ni nini kinakukwamisha.?
Binafsi kwa mwezi nimejiwekea kusave angalau Laki tatu(3) ambapo hadi sasa nina kama 2M za savings ambazo nnategemea kufungulia miradi huko mbele zikijaajaa.
Vipi wewe unayeweza kusave umefikia kiwango gani na lengo ni kiwango gani na unategemea kufanyia nini hyo pesa ukifikia hilo lengo?
Tujuzane hapa chini.πππ
Unasave wapi na kipato chako ni kiasi gani kwa mwezi mzeeNasave 1M hadi 1.5M per month, Acc yangu ni chafu kwa sasa malengo ni kuhit 50M by december 2025.
Unasave wapi na kipato chako ni kiasi gani kwa mwezi mzee
Safiii vzuri natumaini kwa salary hyo unaeza kusave si chini ya 400k..1.5M salary kabla ya makato, ila kazi yangu ni flexible muda mwingi nakuwa field inapelekea maslahi kuongezeka nje ya salary. From there naweka nidhamu ya matumizi ya pesa.