Je, Kiwango chako cha fedha kikubwa cha kusave kwa mwezi ni kipi na nini kinakukwamisha usisave?

Ujumbe mzuri sana kupitia hii thread tutajua level ya financial literacy ya watu wengi
 
Pesewa 20
 
Unasave wapi na kipato chako ni kiasi gani kwa mwezi mzee

1.5M salary kabla ya makato, ila kazi yangu ni flexible muda mwingi nakuwa field inapelekea maslahi kuongezeka nje ya salary. From there naweka nidhamu ya matumizi ya pesa.
 
1.5M salary kabla ya makato, ila kazi yangu ni flexible muda mwingi nakuwa field inapelekea maslahi kuongezeka nje ya salary. From there naweka nidhamu ya matumizi ya pesa.
Safiii vzuri natumaini kwa salary hyo unaeza kusave si chini ya 400k..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…