Je kuanzisha shule binafsi ya sekondari ni vitu gani vinavyohitajika?

Je kuanzisha shule binafsi ya sekondari ni vitu gani vinavyohitajika?

Mwanakanenge

Member
Joined
Nov 25, 2012
Posts
75
Reaction score
17
Habari za leo wanajukwaa,
Naomba mnipe mwanga juu ya kuanzisha shule sekondari ya binafsi(O-level) ni vitu gani vya msingi vinavyohitajika.
(i) Eneo la shule liwe ekari ngapi?
(ii)Je kwa kuanzia shule inatakiwa iwe na madarasa mangapi kukidhi vigezo
(iii)Taratibu za usajili zikoje
(iv)Gharama ya kujenga darasa 1
(v)Na mengineyo ambayo mimi sijayauliza kuhusu kuanzisha shule

Naomba niwasilishe!
 
Tembelea webste ya wizara ya elimu, taratibu zote zimeelezwa hapo. Best wishes Mwanakanenge.
 
Au nenda idara ya ukaguzi ya kanda watakupa karatasi yenye mambo mengi sana.
 
Back
Top Bottom