crome20
JF-Expert Member
- Feb 5, 2010
- 1,193
- 810
Kwa mwenye ufahamu kinachoendelea Zanzibar baada ya kuundwa kwa Shirika la Mawasiliano Zanzibar ni nini?
Mimi nijuavyo mambo ya mawasiliano ikiwemo Posta na Simu ni mambo ya Muungano.
Hata sheria iliyoanzisha Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) Act 12 of 2017 imetamka wazi kuwa itatumika Tanzania bara na Visiwani.
Je, ni sahihi kikatiba kuwa na mashirika mawili shindani yanayotoa huduma moja kwa watanzania?
Mimi nijuavyo mambo ya mawasiliano ikiwemo Posta na Simu ni mambo ya Muungano.
Hata sheria iliyoanzisha Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) Act 12 of 2017 imetamka wazi kuwa itatumika Tanzania bara na Visiwani.
Je, ni sahihi kikatiba kuwa na mashirika mawili shindani yanayotoa huduma moja kwa watanzania?