Amalrik TZ
JF-Expert Member
- Aug 9, 2020
- 341
- 303
- Thread starter
- #21
Wengi ni njaa na sisi wananchi hatuwezi kutofautisha wenye nia ya dhata kati ya kundi kubwa la wenye njaa.Nimejifunza kutosumbuka asubuhi kwenda kupiga kura tena hakuna mpinzani wote njaa