Pre GE2025 Je! Kuchangia chama ni lazima?

Pre GE2025 Je! Kuchangia chama ni lazima?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Chance ndoto

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2017
Posts
4,363
Reaction score
10,265
Mimi ni mwanachama wa CCM na najivunia uanachama wangu, lakini sijawahi kuchangia chama kwa njia yoyote. Najiuliza, je, mchango wa mwanachama unatakiwa kuwa wa kifedha tu, au kuna njia nyingine za kusaidia chama?

Naamini kuwa uanachama sio tu kuhusu pesa, bali pia kushiriki mijadala, kutoa mawazo, na kuhamasisha maendeleo ndani ya chama. Lakini je, ni sahihi kuwa mwanachama bila kuchangia? Nini maoni yenu?

Soma: Pre GE2025 - Godbless Lema: Mkakati wa Tone Tone ni mpango wa kuchangia fedha kwa chama kwa kutumia mifumo ya kidigitali

#CCM #Uanachama #MchangoWaMwanachama
 
Kama ni mwanachama ni muhimu kuchangia sio 'lazima' ni MUHIMU.
 
Mimi ni mwanachama wa CCM na najivunia uanachama wangu, lakini sijawahi kuchangia chama kwa njia yoyote. Najiuliza, je, mchango wa mwanachama unatakiwa kuwa wa kifedha tu, au kuna njia nyingine za kusaidia chama?

Naamini kuwa uanachama sio tu kuhusu pesa, bali pia kushiriki mijadala, kutoa mawazo, na kuhamasisha maendeleo ndani ya chama. Lakini je, ni sahihi kuwa mwanachama bila kuchangia? Nini maoni yenu?

#CCM #Uanachama #MchangoWaMwanachama
Mwenyekiti Wa CCM, Leo Anafuturisha Wapi
 
Sasa unasemaje ni mwanachama na Ada za Chama huchangii?
Unabaki mwanachama bila kuchangia ada. Yaani haifuti uanachama wako.
Unashiriki shughuli za chama.
Unaendelea kuzungumza na kusaidiana na wanachama wenzako.
Kueneza na kukilinda chama.
 
wenye chama chao watatoa.
sijui kwanini nimekuwa mgumu hata kutoa sadaka.pesa naitafuta kwa jasho.ila kuhonga sawaa
 
Mimi ni mwanachama wa CCM na najivunia uanachama wangu, lakini sijawahi kuchangia chama kwa njia yoyote. Najiuliza, je, mchango wa mwanachama unatakiwa kuwa wa kifedha tu, au kuna njia nyingine za kusaidia chama?

Naamini kuwa uanachama sio tu kuhusu pesa, bali pia kushiriki mijadala, kutoa mawazo, na kuhamasisha maendeleo ndani ya chama. Lakini je, ni sahihi kuwa mwanachama bila kuchangia? Nini maoni yenu?

Soma: Pre GE2025 - Godbless Lema: Mkakati wa Tone Tone ni mpango wa kuchangia fedha kwa chama kwa kutumia mifumo ya kidigitali

#CCM #Uanachama #MchangoWaMwanachama
Utachangiqje wakati mmeiba mali zote za raia? ccm ni majambazi km majambazi mengine
 
Mimi ni mwanachama wa CCM na najivunia uanachama wangu, lakini sijawahi kuchangia chama kwa njia yoyote. Najiuliza, je, mchango wa mwanachama unatakiwa kuwa wa kifedha tu, au kuna njia nyingine za kusaidia chama?

Naamini kuwa uanachama sio tu kuhusu pesa, bali pia kushiriki mijadala, kutoa mawazo, na kuhamasisha maendeleo ndani ya chama. Lakini je, ni sahihi kuwa mwanachama bila kuchangia? Nini maoni yenu?

Soma: Pre GE2025 - Godbless Lema: Mkakati wa Tone Tone ni mpango wa kuchangia fedha kwa chama kwa kutumia mifumo ya kidigitali

#CCM #Uanachama #MchangoWaMwanachama
Nimetamka tusi ,ila nmekumbuka Kuna BAN
 
Mimi ni mwanachama wa CCM na najivunia uanachama wangu, lakini sijawahi kuchangia chama kwa njia yoyote. Najiuliza, je, mchango wa mwanachama unatakiwa kuwa wa kifedha tu, au kuna njia nyingine za kusaidia chama?

Naamini kuwa uanachama sio tu kuhusu pesa, bali pia kushiriki mijadala, kutoa mawazo, na kuhamasisha maendeleo ndani ya chama. Lakini je, ni sahihi kuwa mwanachama bila kuchangia? Nini maoni yenu?

Soma: Pre GE2025 - Godbless Lema: Mkakati wa Tone Tone ni mpango wa kuchangia fedha kwa chama kwa kutumia mifumo ya kidigitali

#CCM #Uanachama #MchangoWaMwanachama
Una kadi ya chama ,kama una kadi yachama basi unakichangia
 
Mimi ni mwanachama wa CCM na najivunia uanachama wangu, lakini sijawahi kuchangia chama kwa njia yoyote. Najiuliza, je, mchango wa mwanachama unatakiwa kuwa wa kifedha tu, au kuna njia nyingine za kusaidia chama?

Naamini kuwa uanachama sio tu kuhusu pesa, bali pia kushiriki mijadala, kutoa mawazo, na kuhamasisha maendeleo ndani ya chama. Lakini je, ni sahihi kuwa mwanachama bila kuchangia? Nini maoni yenu?

Soma: Pre GE2025 - Godbless Lema: Mkakati wa Tone Tone ni mpango wa kuchangia fedha kwa chama kwa kutumia mifumo ya kidigitali

#CCM #Uanachama #MchangoWaMwanachama
Juha!
 
Eti hawa ndo wanasema kwa nini wapewe interview kuajiriwa wakati wamefaulu chuo na vyeti wanavyo.

Tena mimi nasema mtu kuajiriwa km hawa vijana wa sasa wapewe interview mara mbili. Wakifaulu ndo waajiriwe. Huwezi kuajiri watu wa hovyohovyo km mleta mada ukategemea mafanikio.
 
Unabaki mwanachama bila kuchangia ada. Yaani haifuti uanachama wako.
Unashiriki shughuli za chama.
Unaendelea kuzungumza na kusaidiana na wanachama wenzako.
Kueneza na kukilinda chama.
Kwanza kama una akili timamu ungehoji hivi? Je kutoa rambirambi kwenye msiba wa mtu unayemjua ni hiari au lazima? Na kwann unatoa lambilambi!?
Pia kama ungekuwa na akili timamu ungehoji je kwann tunaatoa SADAKA KANISANI NA MISIKITINI.? Inatoha tu kwa muumini kushiriki sshughuli za kijamii?
Soma unlimited kuondoa aibu hii
 
Back
Top Bottom