Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
be smart then gentleman 🐒Rubbish.
Unakuwa smart then hujui katiba ya nchi yako. Hujui hata civil rights ( haki za kiraiya) na wala hujui kwamba wanachama wote wa vyama vya siasa duniani ukitoa vile vinavyochangiwa na MATAJRI WALA RUSHWA kama ccm. Huchangiwa na wanachama wao.be smart then gentleman 🐒
Mbona raisi samia anachangia magori wakati timu zinajiweza.Tuanzie hapoMimi ni mwanachama wa CCM na najivunia uanachama wangu, lakini sijawahi kuchangia chama kwa njia yoyote. Najiuliza, je, mchango wa mwanachama unatakiwa kuwa wa kifedha tu, au kuna njia nyingine za kusaidia chama?
Naamini kuwa uanachama sio tu kuhusu pesa, bali pia kushiriki mijadala, kutoa mawazo, na kuhamasisha maendeleo ndani ya chama. Lakini je, ni sahihi kuwa mwanachama bila kuchangia? Nini maoni yenu?
Soma: Pre GE2025 - Godbless Lema: Mkakati wa Tone Tone ni mpango wa kuchangia fedha kwa chama kwa kutumia mifumo ya kidigitali
#CCM #Uanachama #MchangoWaMwanachama
michango yote binafsi ya hali na mali ni muhimu sana kwa mustakabali wa ustawi wa vyama vya siasa nchini,Mimi ni mwanachama wa CCM na najivunia uanachama wangu, lakini sijawahi kuchangia chama kwa njia yoyote. Najiuliza, je, mchango wa mwanachama unatakiwa kuwa wa kifedha tu, au kuna njia nyingine za kusaidia chama?
Naamini kuwa uanachama sio tu kuhusu pesa, bali pia kushiriki mijadala, kutoa mawazo, na kuhamasisha maendeleo ndani ya chama. Lakini je, ni sahihi kuwa mwanachama bila kuchangia? Nini maoni yenu?
Soma: Pre GE2025 - Godbless Lema: Mkakati wa Tone Tone ni mpango wa kuchangia fedha kwa chama kwa kutumia mifumo ya kidigitali
#CCM #Uanachama #MchangoWaMwanachama
nonsense comment of the day with useless mayhem 🐒Unakuwa smart then hujui katiba ya nchi yako. Hujui hata civil rights ( haki za kiraiya) na wala hujui kwamba wanachama wote wa vyama vya siasa duniani ukitoa vile vinavyochangiwa na MATAJRI WALA RUSHWA kama ccm. Huchangiwa na wanachama wao.
Kama democratic party USA kinachangiwa na waachama wake .
Ni mjinga, mshba na mpumbavu tu ndo ashangae wanachadema kushangilia chama chao
Hapana sina.Una kadi ya chama ,kama una kadi yachama basi unakichangia
NONSENSE!Mimi ni mwanachama wa CCM na najivunia uanachama wangu, lakini sijawahi kuchangia chama kwa njia yoyote. Najiuliza, je, mchango wa mwanachama unatakiwa kuwa wa kifedha tu, au kuna njia nyingine za kusaidia chama?
Naamini kuwa uanachama sio tu kuhusu pesa, bali pia kushiriki mijadala, kutoa mawazo, na kuhamasisha maendeleo ndani ya chama. Lakini je, ni sahihi kuwa mwanachama bila kuchangia? Nini maoni yenu?
Soma: Pre GE2025 - Godbless Lema: Mkakati wa Tone Tone ni mpango wa kuchangia fedha kwa chama kwa kutumia mifumo ya kidigitali
#CCM #Uanachama #MchangoWaMwanachama